Msitu upi
..... Nina Hamu Ya Kwenda Mstuni.!
Misitu iko ya aina nyingi, hawa BAWACHA wanataka kuingia kwenye misitu yao au?
Leo nimeshitushwa na kitendo cha wanawake wa chadema BAWACHA kushangilia ushindi wa Halima Mdee kwa kumwagiana pombe hadhalani! Ni utamaduni wa kigeni upo ulaya sio utamaduni wa Kitanzania!
Lakini hata vitabu vya dini vinasema pombe ni haramu kabisa,lakini kwa chama cha siasa kufanya jambo hili ni haramu pia,ikumbukwe chama ni mkusanyiko wa watu wa dini na imani mbali mbali.
Chadema kitendo hiki kimetia aibu na ukakasi chama. Nadhani kuna tatizo la kimaadili ndani ya Chadema.
Hata mimi nimeiona ITV kwenye taarifa ya habari ya saa 2 usku sikuamini! hata kama wawe wana shangilia ushindi wa netball walichofanywa hawa bawacha ni aibu sana
Nyie magamba acheni propaganda ambazo hazina kichwa wala miguu.Leo nimeshitushwa na kitendo cha wanawake wa chadema BAWACHA kushangilia ushindi wa Halima Mdee kwa kumwagiana pombe hadhalani! Ni utamaduni wa kigeni upo ulaya sio utamaduni wa Kitanzania!
Lakini hata vitabu vya dini vinasema pombe ni haramu kabisa,lakini kwa chama cha siasa kufanya jambo hili ni haramu pia,ikumbukwe chama ni mkusanyiko wa watu wa dini na imani mbali mbali.
Chadema kitendo hiki kimetia aibu na ukakasi chama. Nadhani kuna tatizo la kimaadili ndani ya Chadema.
Kasema Sii kupigana vita wewe akili ndogo ya ccm bali KUPATA WANACHAMA WAPYA WA RIKA ZOTE!wenzako wanakunywa chai kikombe buku 10 dodoma, wewe unalipwa buku 7 kutwa nzima
Mmh...sisi wengine yetu macho, ni wajibu wetu kuyasoma yale yanayoandikwa humu JFMdee na Wanabawacha wenzake wanawaza kumkomboa Mtanzania ,Wale wa dodoma wao wanawaza dume ama strawberry cndms ipi ina ladha ama kavu kavu
Misitu ya magamba.
Leo nimeshitushwa na kitendo cha wanawake wa chadema BAWACHA kushangilia ushindi wa Halima Mdee kwa kumwagiana pombe hadhalani! Ni utamaduni wa kigeni upo ulaya sio utamaduni wa Kitanzania!
Lakini hata vitabu vya dini vinasema pombe ni haramu kabisa,lakini kwa chama cha siasa kufanya jambo hili ni haramu pia,ikumbukwe chama ni mkusanyiko wa watu wa dini na imani mbali mbali.
Chadema kitendo hiki kimetia aibu na ukakasi chama. Nadhani kuna tatizo la kimaadili ndani ya Chadema.