Halima Mdee: BAWACHA Tumepanga kuingia msituni

Halima Mdee: BAWACHA Tumepanga kuingia msituni

wakuu,niko safarini naelekea bukoba ila nimepita kuna kijiji karibu na Muleba nimeona watu wametanda mkutano wa halima mdee,kilichonishangaza ni kijijini ila kuna nyomi ya watu.
_kwa kweli huyu mwana mama sijui alikuwa wapi siku zote.
_nimemsikia akiwaasa wanakijiji wasikubali kurubuniwa na mafisadi wa ccm kwa kupewa khanga na pombe na wachague viongozi wa UKAWA toka uongozi wa kijiji hadi rais ...
 
Tatizo lipo wapi? mbona Komba alitangaza kuwa ataingia msituni? UTAIFAKWANZA una IQ Kama ya kuku.
 
Back
Top Bottom