Halima Mdee: BAWACHA Tumepanga kuingia msituni

Halima Mdee: BAWACHA Tumepanga kuingia msituni

Nawaunga mkono hata mimi nipo tayari kwenda msituni, magamba mna ujinga sana.

Hata mimi namuunga mkono kamanda mpiganaji Halima mdee..nami nitaungana nao kuingia porini huko msituni...magamba ni mashenzi mno
 
... Msalani Inawezekana Akili Yako Iko Msalani Inakata Gogo
 
haki ya mungu msalani ni punguani yaani hana akili hata kidogo aisee!!!mungu na mtume hyu ni box kichwani

Hana adabu kabisa! Ukiona mtu anatoa mambo machafu jua tu kwamba huyo ni mchafu "Msalani"
 
... Kilichabaki Ni Kuingia Mstuni Tu Na Siyo Kingine
 
Kasema Sii kupigana vita wewe akili ndogo ya ccm bali KUPATA WANACHAMA WAPYA WA RIKA ZOTE!wenzako wanakunywa chai kikombe buku 10 dodoma, wewe unalipwa buku 7 kutwa nzima

hahahaha! decent answer.
 
Mbunge wa kawe halima james mdee amesema kuwa chama chake na BAWACHA wanajiandaa kuingia msituni sio kupigana bali wanaingia msitu kwa msitu, poli kwa poli na kijiji kwa kijiji ili kwa muda wa Miezi miwili ili kuhakikisha CHADEMA inasonga mbele na kuenea Tanzania nzima ili kuitoa CCM madarakani.

Amesema kuwa wanawake na vijana wanamuamini hivyo atawaongoza Vizuri na hatawaangusha na wameshafanya kikao tayari na kupanga ratiba ya ziara ili kumkomboa mtanzania.

Chanzo: Habari ITV

mbona unaweweseka? mitutusa ya Lumumba utaijua tu.
 
Back
Top Bottom