Sasa hivi nimepita mlalakua iliyokaribu na Mlimani city.Amejieleza vizuri sana.Pia wananchi wamepewa fursa ya kuuliza maswali.Ni mkali,Kawe wasimpoteze.dada huyu,yuko makini sana.Nilikua napita tu katika kuangalia upepo wa campaign zinaendaje.Kawe mpo?