Elections 2010 Halima mdee anguruma mlalakua

Mkombozi

JF-Expert Member
Feb 19, 2008
806
426
Sasa hivi nimepita mlalakua iliyokaribu na Mlimani city.Amejieleza vizuri sana.Pia wananchi wamepewa fursa ya kuuliza maswali.Ni mkali,Kawe wasimpoteze.dada huyu,yuko makini sana.Nilikua napita tu katika kuangalia upepo wa campaign zinaendaje.Kawe mpo?
 
Big up mdee.usihofu kuwa ngangali na mungu atakuongoza
mdee kaza buti, ili uwaonyeshe wale waliokudharau kama dr CHEGENI, ambaye siku ile mlipokuwa mkiojiwa na tbc bungeni dodoma , alisema hauwezi.
 
Go kadadaaa.. tunahitaji mabadiliko, ila hakikisha unapata watu wazuri wa kusimamia kura zako zisije chakachuliwa na mafisadi!
 
Nilipenda pale alipokomaa na Makamba pamoja na yule meya sijui nanai wa DSM kuhusu viwanja kule kawe.
Mpaka mtu mzima Makamba alislimu amri.
Big up sister.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom