Halima Mdee amkana Mkono

Halima Mdee amkana Mkono

Hon Halima ironlady ameshauri kama akuwa OK kuhuduhuria escrow saga atafute lingine name sikulishwasumu
 
Already airborne how do u dispatch??let m chk with tower aka mods ll come backsoon
 
Halimamdee kaeleeza magazetinileo akuna alielishwa sumu...akaeleza walipofika huko hata kabla ajala chochote h Ali ilikuwa tata akaaja Dk akaumuuliza Dk wa nkono anaumwa nini...dk wa mb akamwambia anaitaji dawa Fulani akinywa inakuwa haliyake poa...akauliza kama alilishwa sumu iweje Dk wake aseme MPE dawafudenge??gafla yukosawa

Akaomba nkono aeleze ukweli anaumwa niini badala ya kusingizia amelishwa sumu

Patamu

Kwako NN.tupe

Acha upuuzi bana sasa unaandika kama mtoto mdogo kwanini?
Kwa mfano Mkono unaandika nkono? Kua serious
 
Hahahaha.... mkongwe Pdidy katika ubora wake.......
 
Last edited by a moderator:
Nyie mnaompa misifa ya kijinga pdiddy mnamuharibu!!unakera mkuu kwani hata la sita hukufika?!aaah
 
ARVs zikisha fail mnasingizia sumu. Kwani hata kwa kumwangalia tu jibu si unalo. Kwisha jazi.
 
Halimamdee kaeleeza magazetinileo akuna alielishwa sumu...akaeleza walipofika huko hata kabla ajala chochote h Ali ilikuwa tata akaaja Dk akaumuuliza Dk wa nkono anaumwa nini...dk wa mb akamwambia anaitaji dawa Fulani akinywa inakuwa haliyake poa...akauliza kama alilishwa sumu iweje Dk wake aseme MPE dawafudenge??gafla yukosawa

Akaomba nkono aeleze ukweli anaumwa niini badala ya kusingizia amelishwa sumu

Patamu

Kwako NN.tupe
Mkuu umeandika kama umefumaniwa vp, au hyo smartphone hujaizoea??
 
diddy! mwandiko wako unazingua sana, hivi toka umejiunga jf hujajua tu kuandika vizuri?
 
huyu p'ddy alichokiandika anakijua yeye mwenyewe sijui kwanini mnampa misifa yaani
mm mwenyewe nimesoma na kurudia zaidi ya 2 sijaelewa chochote asidhani hapa fb
aende kuandika kule hapa watu tumetuilia tunaandika mambo ya maana fuu
Weee....ana first class MBA degree ya UDSM ......acha masihara kabisa ......
 
Back
Top Bottom