jMali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 8,412
- 5,012
Yaani mtu kama Mkono azushe kwamba alilishwa sumu??
Mbona mwakyembe alizusha kapewa sumu na wabongo wakakubali?
Yaani mtu kama Mkono azushe kwamba alilishwa sumu??
jamani P didy hujui kuandika au? sikuelewi
Halimamdee kaeleeza magazetinileo akuna alielishwa sumu...akaeleza walipofika huko hata kabla ajala chochote h Ali ilikuwa tata akaaja Dk akaumuuliza Dk wa nkono anaumwa nini...dk wa mb akamwambia anaitaji dawa Fulani akinywa inakuwa haliyake poa...akauliza kama alilishwa sumu iweje Dk wake aseme MPE dawafudenge??gafla yukosawa
Akaomba nkono aeleze ukweli anaumwa niini badala ya kusingizia amelishwa sumu
Patamu
Kwako NN.tupe
Mkuu umeandika kama umefumaniwa vp, au hyo smartphone hujaizoea??Halimamdee kaeleeza magazetinileo akuna alielishwa sumu...akaeleza walipofika huko hata kabla ajala chochote h Ali ilikuwa tata akaaja Dk akaumuuliza Dk wa nkono anaumwa nini...dk wa mb akamwambia anaitaji dawa Fulani akinywa inakuwa haliyake poa...akauliza kama alilishwa sumu iweje Dk wake aseme MPE dawafudenge??gafla yukosawa
Akaomba nkono aeleze ukweli anaumwa niini badala ya kusingizia amelishwa sumu
Patamu
Kwako NN.tupe
Nyie mnaompa misifa ya kijinga pdiddy mnamuharibu!!unakera mkuu kwani hata la sita hukufika?!aaah
Speed n standard usipokuwa na speed Yangu utaishia kulalama jf kilasiku
Weee....ana first class MBA degree ya UDSM ......acha masihara kabisa ......