Leo umeamka uko kwenye mwezi nadhani! Pole maana level ya iron inapungua katika hali hiyo na function of the brain follows suit!Kiukweli udhaifu wa CHADEMA ulianzia pale Balozi Wilbroad Slaa alipoamua kuachana na siasa za majukwaani.
Baadae Patrobas Katambi akaidhoofisha Bavicha kwa kuhamia chama dume CCM.
Halima James Mdee akapigilia msumari wa mwisho kwa kusepa na kijiji kizima cha Bawacha.
Mungu ibariki CHADEMA!