OMUSILANGA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 384
- 227
Time will tell
Wewe ndiyo mwenye ubongo wa kuku!! huwezi kuona uelewa wake!!Halima sijui kawaje siku hiz, hajielewi kabisa
kwan ulitaka wamtandike@habari ya mujini
Hajaalikwa na ikulu bali kikwete binafsi alimualika na kama unavyojua halima anapendwa na watu wakaona bora waungane nae kuelekea ikulu.
January atakuongeza laptop leo umeongea eti na wewe makanjanja wa nchi hiiHalima sijui kawaje siku hiz, hajielewi kabisa
Huta kaa uelewe sayansi ya chadema katika public awareness , leo hii unasema chadema imekufa wakati mkutano wa wawanawake pale mlimani city ulikuwa mafurikomaandamanoo au mbwembwe tu kujitafutia umaarufu...chadema bwana kwelii kimekufaaa mana alikuwa na wanawake mamantilie sijui watano au kumii wale....... hiki ndo chadema sasa namuelewa NAPE kuwa wanatafuta picha za kukamatwa na polisi watume ulaya kupata pesa