Halima Mdee aachiwa huru


Ntaanza na wewe ulioko porini
 

Hkuna jeshi la Polisi wala la ulinzi wala vifaru vilivyoweza pambana na wananchi wakiamua polisi wa nchi hii watulie waache kuchokoza wananchi, wanahaki yakuoyesha hisia zao wachwe waandamane hawavunji sharia ya nchi ,hii sio nchi ya kijeshi hivi wananchi na wao wkishika bunduki kuwageuzia polisi nadhani unajua majibu yake
 
Ndugu yangu una elimu gani? Maana huenda siyo tatizo lako. Inaonekana hata Historia hujui. Mkwawa hakuwahi kupigana vita vya majimaji. Pili hujui hata mamlaka na madarka ya Polisi. Polisi haina uwezo wala mamlaka kuruhusu au kuzuia maandamano, kinachofanyika sasa ni matumizi mabaya ya serikali kutumia Polisi. Ndiyo maana Tanzania ina rank chini kwenye haki za binadamu. Inaonekana Tanzania ina utawala wa kidekteta.


ii
 

mkwawa ndo alipigana vita vya majimaji? Au humjui Mkwawa? Mkwawa ni Chief pekee aliyepigana na wajerumani akashinda. Wajerumani walipokukusanya nguvu waliporevenge ndipo alipozidiwa nguvu.

Pia usiwatishe watu kuwa waendelee kutishwa na kuogopa polisi.
 
Polisi wanataka kupandishwa vyeo tu ndo maana wako busy na cdm, hakukuwa na logic ya kwenda kuwakamata wanawake eti wanaandamana.
 
umechanganya mambo MKWAWA hakuwai kuwambia wafuas wake waseme maji ni KINJEKETILE NGWALE utatupotoshea watoto weti wakose kwenye masomo yao usiwe unakurupukaa...
 
Rais mpya hajui historia. Ukiona hivyo jua mwana cccccxm ambao ilimrad tu ujue kusoma utapata cheo km ubunge...in sawa na alokuwa naib was elimu...
 
Kweli mnajua kutafuta umaarufu.
Hiyo hofu kubwa ilianzia mkoa gani na kuishia mkoa gani?Mbona watu wengi hawajui kama huyo Halima alikamatwa au lah?
Acha kukuza mambo!

Mheshimiwa una maanisha hata taarifa ya habari husikilizi kabisa?
 

Mkwawa alipigana vita ya Majimaji?!

Kweli elimu yetu ni janga la kitaifa.

Yaleyale ya Mulugo Tanzania ni Muungano wa nchi ya Tanganyika na Zimbabwe!

I'm speechless and mouth open
 
 
they will never defeat the spirit we have,,,,, God be ahead of us.
 
Napenda wanawake wenye msimamo na ujasiri kama wa Halima. Ni wanawake wa namna hii nitakaowaunga mkono daima, siyo wale wa kusema ndiyooooooo na kukata viuno bungeni na kwenye mikutano ya mafisadi baada ya kuhongwa sahani ya pilau na kanga. Endelea na moyo huo huo HALIMA MDEE, kaa ukijua kuna kundi kubwa la wapenda mabadiliko wa Tanzania wako nyuma yako.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…