Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,837
- 6,372
Kila mtu anapitia ya kwake na kwa muda wake , vitu vingi vinatukwamisha ,vingi vinatujenga vingine vinatuabisha vingine vitupa moyo na furaha.
hivi kwamba hali yako ya maisha ya sasa ungeambiwa utumie methali,Nahau au msemo wowote kuielezea ungetumia METHALI au MSEMO Upi?
kwa Upande wangu mimi hali yangu ya sasa ningetumia
MAJI UKISHAYAVULIA NGUO SHARTI UYAOGE
hivi kwamba hali yako ya maisha ya sasa ungeambiwa utumie methali,Nahau au msemo wowote kuielezea ungetumia METHALI au MSEMO Upi?
kwa Upande wangu mimi hali yangu ya sasa ningetumia
MAJI UKISHAYAVULIA NGUO SHARTI UYAOGE