Bueno
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 34,609
- 59,655
Kwa hio unashauri wote watiwe ndani sio mmoja kati yao?Wanafunzi wanapeana mimba alafu adhabu ina angukia upande mmoja kwangu hiyo kwanza sio sawa
Kwa hio unashauri wote watiwe ndani sio mmoja kati yao?Wanafunzi wanapeana mimba alafu adhabu ina angukia upande mmoja kwangu hiyo kwanza sio sawa
Hapana ila huko inatakiwa nidhamu ianze kwa wazazi wao kwanza.Kwa hio unataka kusemaje mkuu ni halali yao kufanya hivyo?
Ndiyo leo kuona upo serious mkuu😛Dahhhh...
Imeniuma kama mzazi.
Lakini najiuliza kama raia kwamba, serikali ilipohamia daslam ilisahau kama vijijini kuna watanzania pia???
Kuna Kijiji Fulani kijana akitaka kuoa anamuapproach Binti. Binti alikubali ponepone yake. Akikataa basi, kijana ana organize vijana wenzake.Bila kupoteza muda,hali ya amani katika Vijijini vyetu ni ya kusikitisha sana,Serikali wekeni umakini katika hili
Kuna tukio limetokea hivi karibuni,katika Kijiji cha Magoza kata ya Kuparang'anda,Binti mlemavu wa masikio,macho na bubu,amebakwa mchana kweupe,Ni hili la kubaka,ni jambo la kawaida sana Vijijini,na Hawana njia ya kutatua,
Kadhalika,jambo la kutiana mimba hususan kwa Wanafunzi wa Shule za Msingi,imekuwa kawaida mno,adhabu anayopewa Mtia mimba,ni kupeleka kiroba cha sembe kilo Tano kila wiki....
Tatizo
Katika Vijiji vingi,hakuna vituo vya polisi,hakuna lolote lile ambalo wananchi wanaweza kukimbilia
Ifike Wakati,Serikali iweke angalau Kituo kimoja katika Kijiji au Kitongoji,kupunguza uhalifu na kuweka amani
Unaweza kusema
Serikali ipo Mjini tu,Kijijini hakuna Serikali
Kumbe nimekaa kimaskhara kama avatar eehhh🤔🤔Ndiyo leo kuona upo serious mkuu😛
Avatar kuna Mzee mchafu mbonaKumbe nimekaa kimaskhara kama avatar eehhh🤔🤔
Usinifanye nikatoa siri we Mwa J.....Avatar kuna Mzee mchafu mbona
🤣🤣🤣toa tu we mchumba wa mwa J ....Usinifanye nikatoa siri we Mwa J.....
I lov you more Mwa J wangu mzuri wa mbezi bichi kabla hamja hamia masaki...🤣🤣🤣🤣toa tu we mchumba wa mwa J ....
Kwahiyo ukibakwa mbakaji akipewa hiyo adhabu utarudhikaAdhabu sio mpaka mtu afungwe 10yrs jamani kiroba cha kg 5 adhabu tosha hiyo
🤣🤣🤣🤣🙌🏿I lov you more Mwa J wangu mzuri wa mbezi bichi kabla hamja hamia masaki...🤣
Kumbe kwako, hapo sawa.. Nikajua ni sheria inasema hivyoWanafunzi wanapeana mimba alafu adhabu ina angukia upande mmoja kwangu hiyo kwanza sio sawa
Leejay49 warraaaaaapKumbe kwako, hapo sawa.. Nikajua ni sheria inasema hivyo