Leo nimeenda zahanati ya serikali bhana. Nikaandikiwa vipimo nilivyotakiwa kupima, nikapewa bili ya Sh16,000. Nikalipia na kwenda maabara. Huwezi kuamini, maabara wamechukua mkojo na damu, lakini walichopima ni malaria pekee.
Ningeenda hospitali binafsi, vipimo hivyo ningetumia hata Sh6,000 tu. Guys, huku ground hali sio nzuri, ngo'ombe tunakamuliwa haswa.
NB: Kuna wale walala hoi mnapenda kusema Sh16,000 nayo ni hela ya kulalamikia. Issue sio kiasi cha pesa, issue ni utajisikiaje ukipanda daladala kutoka Nyegezi hadi NATA, ukaambiwa nauli ni Sh50,000? Utalipa kwa moyo mkunjufu?
Ningeenda hospitali binafsi, vipimo hivyo ningetumia hata Sh6,000 tu. Guys, huku ground hali sio nzuri, ngo'ombe tunakamuliwa haswa.
NB: Kuna wale walala hoi mnapenda kusema Sh16,000 nayo ni hela ya kulalamikia. Issue sio kiasi cha pesa, issue ni utajisikiaje ukipanda daladala kutoka Nyegezi hadi NATA, ukaambiwa nauli ni Sh50,000? Utalipa kwa moyo mkunjufu?
Usipokuwa makini presha inaweza kupanda au ukapasuka aorta.

