Hali ya Vijijini ni mbaya sana

Hali ya Vijijini ni mbaya sana

Ninashauri mleta mada atoe taarifa kamili kwa Mh. Waziri Gwajima ili hili suala lifuatiliwe. Nenda private toa Taarifa kamili, kusema tu kijiji cha Kiparang'anda Mkuranga bado haitoshi kuweza kifuatilia.
 
Bila kupoteza muda,hali ya amani katika Vijijini vyetu ni ya kusikitisha sana,Serikali wekeni umakini katika hili
Kuna tukio limetokea hivi karibuni,katika Kijiji cha Magoza kata ya Kuparang'anda,Binti mlemavu wa masikio,macho na bubu,amebakwa mchana kweupe,Ni hili la kubaka,ni jambo la kawaida sana Vijijini,na Hawana njia ya kutatua,
Kadhalika,jambo la kutiana mimba hususan kwa Wanafunzi wa Shule za Msingi,imekuwa kawaida mno,adhabu anayopewa Mtia mimba,ni kupeleka kiroba cha sembe kilo Tano kila wiki....
Tatizo
Katika Vijiji vingi,hakuna vituo vya polisi,hakuna lolote lile ambalo wananchi wanaweza kukimbilia
Ifike Wakati,Serikali iweke angalau Kituo kimoja katika Kijiji au Kitongoji,kupunguza uhalifu na kuweka amani

Unaweza kusema
Serikali ipo Mjini tu,Kijijini hakuna Serikali
Hii Ni hatari sana usalama wa raia na Mali zao ni mdogo sana,hawana pa kukimbilia wakipatwa na Jambo baya km hili,serikali iangalie hili kwa jicho la huruma.
 
Bila kupoteza muda,hali ya amani katika Vijijini vyetu ni ya kusikitisha sana,Serikali wekeni umakini katika hili
Kuna tukio limetokea hivi karibuni,katika Kijiji cha Magoza kata ya Kuparang'anda,Binti mlemavu wa masikio,macho na bubu,amebakwa mchana kweupe,Ni hili la kubaka,ni jambo la kawaida sana Vijijini,na Hawana njia ya kutatua,
Kadhalika,jambo la kutiana mimba hususan kwa Wanafunzi wa Shule za Msingi,imekuwa kawaida mno,adhabu anayopewa Mtia mimba,ni kupeleka kiroba cha sembe kilo Tano kila wiki....
Tatizo
Katika Vijiji vingi,hakuna vituo vya polisi,hakuna lolote lile ambalo wananchi wanaweza kukimbilia
Ifike Wakati,Serikali iweke angalau Kituo kimoja katika Kijiji au Kitongoji,kupunguza uhalifu na kuweka amani

Unaweza kusema
Serikali ipo Mjini tu,Kijijini hakuna Serikali
Serikali ikiwa corrupt kuanzia juu, hupelekea kulegalega kwa uchumi na usalama wa nchi.

Maadui wengi wamejipenyeza labda na serikali isiwe inajua
 
Bila kupoteza muda,hali ya amani katika Vijijini vyetu ni ya kusikitisha sana,Serikali wekeni umakini katika hili
Kuna tukio limetokea hivi karibuni,katika Kijiji cha Magoza kata ya Kuparang'anda,Binti mlemavu wa masikio,macho na bubu,amebakwa mchana kweupe,Ni hili la kubaka,ni jambo la kawaida sana Vijijini,na Hawana njia ya kutatua,
Kadhalika,jambo la kutiana mimba hususan kwa Wanafunzi wa Shule za Msingi,imekuwa kawaida mno,adhabu anayopewa Mtia mimba,ni kupeleka kiroba cha sembe kilo Tano kila wiki....
Tatizo
Katika Vijiji vingi,hakuna vituo vya polisi,hakuna lolote lile ambalo wananchi wanaweza kukimbilia
Ifike Wakati,Serikali iweke angalau Kituo kimoja katika Kijiji au Kitongoji,kupunguza uhalifu na kuweka amani

Unaweza kusema
Serikali ipo Mjini tu,Kijijini hakuna Serikali
Wakifungua matawi ya Chadema vituo vya polisi vitajengwa ili kuwadhibiti wapinzani.
 
Bila kupoteza muda,hali ya amani katika Vijijini vyetu ni ya kusikitisha sana,Serikali wekeni umakini katika hili
Kuna tukio limetokea hivi karibuni,katika Kijiji cha Magoza kata ya Kuparang'anda,Binti mlemavu wa masikio,macho na bubu,amebakwa mchana kweupe,Ni hili la kubaka,ni jambo la kawaida sana Vijijini,na Hawana njia ya kutatua,
Kadhalika,jambo la kutiana mimba hususan kwa Wanafunzi wa Shule za Msingi,imekuwa kawaida mno,adhabu anayopewa Mtia mimba,ni kupeleka kiroba cha sembe kilo Tano kila wiki....
Tatizo
Katika Vijiji vingi,hakuna vituo vya polisi,hakuna lolote lile ambalo wananchi wanaweza kukimbilia
Ifike Wakati,Serikali iweke angalau Kituo kimoja katika Kijiji au Kitongoji,kupunguza uhalifu na kuweka amani

Unaweza kusema
Serikali ipo Mjini tu,Kijijini hakuna Serikali
Ahsante Sana Abuu Dharr na wote mliosaidia kutaja ni wapi huku. Tayari wataalamu kupitia mamlaka ya mkoa na wilaya na Dawati la Jinsia ngazi zote wanafuatilia, nitapata taarifa ya ufuatiliaji. Kwa ushirikiano zaidi unaweza kuwasilisha nami kwa sms kwenye namba 0765345777, USIRI WA MTOA TAARIFA KUZINGATIWA. Shukrani jamii kwani bila ushirikiano na jamii ni mtihani


Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Ninavyofahamu, wanakijiji wanajua kulinda usalama wa maeneo yao kuliko watu wa mijini.

Kama shida imetokea huko Kiparang'anda (ninadhani ni Mkuranga) basi usidhani kwamba hiyo ni hali ya vijiji vyote.
 
Ahsante Sana Abuu Dharr na wote mliosaidia kutaja ni wapi huku. Tayari wataalamu kupitia mamlaka ya mkoa na wilaya na Dawati la Jinsia ngazi zote wanafuatilia, nitapata taarifa ya ufuatiliaji. Kwa ushirikiano zaidi unaweza kuwasilisha nami kwa sms kwenye namba 0765345777, USIRI WA MTOA TAARIFA KUZINGATIWA. Shukrani jamii kwani bila ushirikiano na jamii ni mtihani


Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Mkuu usisahau kuleta mrejesho
 
Back
Top Bottom