Abuu Dharr
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 2,898
- 3,006
Bila kupoteza muda,hali ya amani katika Vijijini vyetu ni ya kusikitisha sana,Serikali wekeni umakini katika hili
Kuna tukio limetokea hivi karibuni,katika Kijiji cha Magoza kata ya Kuparang'anda.
Binti mlemavu wa masikio,macho na bubu,amebakwa mchana kweupe, ni hili la kubaka, ni jambo la kawaida sana Vijijini,na Hawana njia ya kutatua.
Kadhalika,jambo la kutiana mimba hususan kwa Wanafunzi wa Shule za Msingi,imekuwa kawaida mno,adhabu anayopewa Mtia mimba,ni kupeleka kiroba cha sembe kilo Tano kila wiki.
Tatizo
Katika Vijiji vingi,hakuna vituo vya polisi,hakuna lolote lile ambalo wananchi wanaweza kukimbilia
Ifike Wakati, Serikali iweke angalau Kituo kimoja katika Kijiji au Kitongoji,kupunguza uhalifu na kuweka amani
Unaweza kusema
Serikali ipo Mjini tu, Kijijini hakuna Serikali
Kuna tukio limetokea hivi karibuni,katika Kijiji cha Magoza kata ya Kuparang'anda.
Binti mlemavu wa masikio,macho na bubu,amebakwa mchana kweupe, ni hili la kubaka, ni jambo la kawaida sana Vijijini,na Hawana njia ya kutatua.
Kadhalika,jambo la kutiana mimba hususan kwa Wanafunzi wa Shule za Msingi,imekuwa kawaida mno,adhabu anayopewa Mtia mimba,ni kupeleka kiroba cha sembe kilo Tano kila wiki.
Tatizo
Katika Vijiji vingi,hakuna vituo vya polisi,hakuna lolote lile ambalo wananchi wanaweza kukimbilia
Ifike Wakati, Serikali iweke angalau Kituo kimoja katika Kijiji au Kitongoji,kupunguza uhalifu na kuweka amani
Unaweza kusema
Serikali ipo Mjini tu, Kijijini hakuna Serikali