KISS 100
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 527
- 1,101
Salamu ndugu zangu.Tuwe wakweli Kwa Sasa Kwa asilimia kubwa Kuna haya mambo yameshamiri Kwa Sasa.
Wataalamu yatafutieni ufumbuzi
1.Umeme imekua kero
2.Sukari imekua anasa
3.Dollar imeadimika sana
4.Hali ni ngumu mtaani
5.Vijana hawana Ajira
6.Mfumuko wa bei nchini
7Mafuta ya Petrol na Diesel
Wataalamu yatafutieni ufumbuzi
1.Umeme imekua kero
2.Sukari imekua anasa
3.Dollar imeadimika sana
4.Hali ni ngumu mtaani
5.Vijana hawana Ajira
6.Mfumuko wa bei nchini
7Mafuta ya Petrol na Diesel