Wanajamii forum tujadili swala la kupunguza muda wa gharama za uchakavu gari kutoka miaka 10 hadi 8, kutokana na kushuka kwa thamani ya fedha ya tanzania kuliganisha na dola/ euro. Je kwa sisi wenye kipato kidogo au cha kati tutaweza kununua gari lililotumika kuanzia miaka 8 kweli, maana naona ili uweze kuagiza gari bila uchakavu utahitaji kununua gari la mwaka 2005-2012. ??????
Mimi naona kama gharama za ununuzi zitakuwa kubwa vile
Mwanajamii Forum -Mafinga
Mimi naona kama gharama za ununuzi zitakuwa kubwa vile
Mwanajamii Forum -Mafinga