Lugoda lwa chuma
Senior Member
- Mar 21, 2023
- 179
- 338
Moja kwa moja niende kwenye mada, leo nimebahatika kuangalia uchambuzi wa ripoti ya CAG uliofanywa na mh.Mnyika!
Uchambuzi sina shida nao tatizo ni yale mazingira ilipo fanyika press. Yani wameweka meza nje afu nyuma ya ukuta umechoka balaa, podium yenyewe imepauka pauka yan leo ndo nimejua hadi mbao nayo inapuka kha!!
Bendera iliyopo nje ya ofisi kwenye mlingoti imepauka pau hadi imechanika kwenye pindo, hiyo ofisi ndo sitaki kuiongelea ilivyo, imechoka haifananii hadhi ya headquater!
Yani hata bati tu kurudia rangi mmeshindwa viongoz! Bati ilipakwa rangi nyekundu ila now ni damu ya mzee iliyo na mikwaruzo aibu viongozi! Mnafeli wapi?
Mbona zito na chama chake wameweza? Mambo ya majibu ya sijui chadema ofisi zipo miyoyoni mwetu wanachama hatutaki kuzikubali mnatudhalilisha!
Kama mmeshdwa itisheni mchango tuchange hatushindwi kuchanga hela likajengwa jengo lenye hadhi ya chama chetu.
Mwisho huu ni mtazamo na ushauri, usije kujibu hapa kwa mihemko jibu hoja.
Nawasilisha
Uchambuzi sina shida nao tatizo ni yale mazingira ilipo fanyika press. Yani wameweka meza nje afu nyuma ya ukuta umechoka balaa, podium yenyewe imepauka pauka yan leo ndo nimejua hadi mbao nayo inapuka kha!!
Bendera iliyopo nje ya ofisi kwenye mlingoti imepauka pau hadi imechanika kwenye pindo, hiyo ofisi ndo sitaki kuiongelea ilivyo, imechoka haifananii hadhi ya headquater!
Yani hata bati tu kurudia rangi mmeshindwa viongoz! Bati ilipakwa rangi nyekundu ila now ni damu ya mzee iliyo na mikwaruzo aibu viongozi! Mnafeli wapi?
Mbona zito na chama chake wameweza? Mambo ya majibu ya sijui chadema ofisi zipo miyoyoni mwetu wanachama hatutaki kuzikubali mnatudhalilisha!
Kama mmeshdwa itisheni mchango tuchange hatushindwi kuchanga hela likajengwa jengo lenye hadhi ya chama chetu.
Mwisho huu ni mtazamo na ushauri, usije kujibu hapa kwa mihemko jibu hoja.
Nawasilisha