Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,901
- 20,410
Hali inazidi kuwa mbaya kwa mbunge David Silinde jimboni kwake .
Wakati muda unazida kwenda bado hajatekeleza ahadi hata moja alizoahidi mfano kuleta maji jimboni kwake.
Pengine ni miujiza tu ndiyo inaweza kumkwamua kuweza kurudi tena bungeni.
Kama hakuna nguvu za ziada zikiwemo nguvu za giza Silinde ndiyo basi tena bungeni.
Wakati muda unazida kwenda bado hajatekeleza ahadi hata moja alizoahidi mfano kuleta maji jimboni kwake.
Pengine ni miujiza tu ndiyo inaweza kumkwamua kuweza kurudi tena bungeni.
Kama hakuna nguvu za ziada zikiwemo nguvu za giza Silinde ndiyo basi tena bungeni.