Hali ya hewa ya Mbeya inakera sana

Asante Mama Samia baridi ya kutosha tumepata wana Mbeya leo. Moto umeisha kabisa na hewa yake...
Usizuie tu mkaa maana tutakufa kwa kutetemeka.
Mama mitano tena anaupiga mwingi.
 
Ni kutembea na mafutaaanii
Tena mafuta mgando yanayowekwa glycerin.
Vinginevyo unapauka kama kengeπŸ˜†
Miguu inachanika
Yaani napafahamu haswaaaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚nikaenda kabwe pale shopping ya masweta na makoti naondoka nikayaacha huko huko kwa bro akiba haiozi
 

Hamia Singida au Tabora. Toronto
 
Wewe basi huwezi kuishi China wala Norway
Nilitaka kufa na baridi Toronto. Yaani haki ya nani mapumbu yanapotea na ukivuta hewa inakuchoma mpaka mapafuni. Halafu nikajichanganya eti wiki tatu Minnesota wakati wa Winter. Mbona nilirudi Misungwi kwa miguu? Lakini wenyeji wao wanaona tu kawaida. Nilishangaa sana!

Sehemu ya baridi kali mi sikai hata iweje. Hata kama ni kazi siendi kuripoti. Full stop!πŸ“Œ
 
Nadhani katika kipindi kina baridi toka niijue mbeya ni hiki sasa kuna baridi na vumbi.
 
NASOMA kiwanja kikali sana sema hawana parking.
 
Hatari sana...sina cha kuongezea...
Nawapa pole sanaaaa
Ila namiss misosi aisee hasa matunda...
Halafu wakazi wa Mbeya sio walaji na sio wapenda kupika....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…