Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
Mkuu nakuunga mkono! Kuna jamaa nlikua nae hapa Chalinze km miaka 4 hivi imepita, kapata kazi kwenye hicho chuo, alikua ni F4 ya div 4, leo hii kaniambia anamalizia bachelor degree hapo SJUT??? Not even f6 or diploma holder???? Alafu mnatuambia kuna TCU na Quality assurance....???? Shame upon you MAGAMBA Govt.....???
Mkuu nakuunga mkono 100%, hivi sio vyuo vikuu ni mauzauza.