Baba wa Mapaka
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 1,813
- 1,629
Rae c je?
Maana waliimba wote 'Mama weee ntilie....'Rae c je?
Watu mna manenohivi chid ni mjukuu wa kingunge..maana wamefanana
Si ndugu ila what they have in common ni kuwa benz ameathirika na family brand.hivi chid ni mjukuu wa kingunge..maana wamefanana
Chadema? Ulikua jela alivyotunga wimbo wa kumtukana Lowasa baada ya Lowasa kugombea kupitia ukawa?Kilichomponza Chidi ni kushabikia chadema,
Mwenzake lowasa alikuwa zaidi ya mzee wa miaka 100
Kilichomponza Chidi ni kushabikia chadema,
Mwenzake lowasa alikuwa zaidi ya mzee wa miaka 100
Toka lini chid akashabikia chadema,chid huyu aliyeimba nyimbo zakuwaponda UKAWA na LOWASA kipindi cha uchaguzi mkuu 2015...Kilichomponza Chidi ni kushabikia chadema,
Mwenzake lowasa alikuwa zaidi ya mzee wa miaka 100
Hivi Ule Uliopita Ulikuwa Ni Nini ?Jamaa kweli kazingua me mwenye nimemwona jamaa anahitaji msaada kwakweli amekuwa kama kadata hv
Mnaleta tena mambo ya ccm na ukawa mpaka huku.Kilichomponza Chidi ni kushabikia chadema,
Mwenzake lowasa alikuwa zaidi ya mzee wa miaka 100
Kwani we bia ulijifunzaje?!?Duh! Kawa Chid bodaboda.
Hivi nini kinawashawishi kuingia kwenye uteja hawa jamaa?