Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,120
- 7,912
aseee ni tatizo duhLabda dunia ipinduke!
Sijawahi shuhudia mtu akarudi normal
Pombe mtu anaacha kabisa lakini nganda ni impossible ( sembe itakuwa na laana ya kipekee)
aseee ni tatizo duhLabda dunia ipinduke!
Sijawahi shuhudia mtu akarudi normal
Pombe mtu anaacha kabisa lakini nganda ni impossible ( sembe itakuwa na laana ya kipekee)
Amerudia kwa kasi na maskani yake ni kinondoni,anaiba mpaka ndala daahAnahitaji diet ya nguvu kurudi kwenye hali yake ya awali. Ukishatumia madawa mwili huwa unateteleka. Ili mradi tu asiludie ngada
Kwani we bia ulijifunzaje?!?
Mbona young dee karudi normal au anaongopa?? Ingawa Max anasema ni kweli dogo kaachaLabda dunia ipinduke!
Sijawahi shuhudia mtu akarudi normal
Pombe mtu anaacha kabisa lakini nganda ni impossible ( sembe itakuwa na laana ya kipekee)
uuuwii huyu jamaa karudia ngada nini? masikini weeeeeee
Mkuu makopo dili siku hizi, labda uozo jaani/dampoSasa hivi ataanza kuokota makopo ya maji!Kichaa hakipo mbali naye.
Haha..si nlisikia Mr nice amekufaaa auu?Amechoka na hawez kusimama hata kwa round moja ulingon na mr nice
Yupo mkuu ni wajinga mtaan walizushaHaha..si nlisikia Mr nice amekufaaa auu?
Amani kwa kaka Voda milionea mwambie [bKing Kong/b] aache ushoga na umbeaAmani Kwa KAKA VODA Milionea Waambie Wadogo zako Waache PODA wale Mmea..[HASHTAG]#JIPANGE[/HASHTAG]
Kumbuka Jamaa Alikuja Kuifuta Hiyo Kauli nashangaa wewe bado unaing'ang'ania...Waambie Jamaa zako waache Poda wale Mmea.Amani kwa kaka Voda milionea mwambie [bKing Kong/b] aache ushoga na umbea
Wapi mjukuu... Kwa jinsi alivopaua kingunge bado handsome boy.... Haya sasa Mwambieni akampige tena kofi prof. Jay maaaninahivi chid ni mjukuu wa kingunge..maana wamefanana
ile kusema nimeshaacha PODA pia sili MMEA....Kumbuka Jamaa Alikuja Kuifuta Hiyo Kauli nashangaa wewe bado unaing'ang'ania...Waambie Jamaa zako waache Poda wale Mmea.