Hali ya Chidi Benz, kawa kibabu aiseee

daaaah huyu jamaa duuu....afu mbona ray c alikua bonge sio kama huyu mshkaji aisee??
 
Kumbuka Jamaa Alikuja Kuifuta Hiyo Kauli nashangaa wewe bado unaing'ang'ania...Waambie Jamaa zako waache Poda wale Mmea.
ile kusema nimeshaacha PODA pia sili MMEA....

Ilikuwa uongo tu baada ya kutoka Rehab baada ya pale akaliwasha gari tena mpaka anavuta.
 
Back
Top Bottom