mzimu wa mengi unawatafuna siku hizi wanarudia ya zamani hawana mpya.
Kwa taarifa nilizonazo kutoka vyombo vya habari vya kuaminika. Wasanii wote wa orijino komedi wapo likizo> Kutokana na hali hiyo hawatoweza kutuletea mambo mapya tena hadi pale likizo yao itakapokwisha. Kutokana na hali hiyo wameona bora watuwekee marudio ya vipindi vya orijino komedi vya zamani badala ya kutuacha bila kitu