Charliemic
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 585
- 919
Wiki chache zilizopita nilileta maada ikizungumzia chuki zinazoenezwa na kikundi cha watu wachache ambao idadi yao hawafiki hata 100 huko mitandaoni kuwa hali ni ngumu, na kutaka kuleta chuki, wamejisajili instagram, twitter na jf. wapendwa hebu tuangalie ziara za Mh Rais kwenye mkoa wa Mbeya anavyopokelewa na mamilioni ya wananchi huku wakimshangilia kwa juhudi kubwa huku wakionyesha kumuunga mkono!
My take:
1.Hivi hali ingekuwa mbaya watu wangejitokeza kwa wingi ule kwenda kumlaki!???
2. Mbona Mh Sugu hakuweza kuzungumzia hali ngumu badala yake akamsifu na kukiri anaunga mkono!???
My take:
1.Hivi hali ingekuwa mbaya watu wangejitokeza kwa wingi ule kwenda kumlaki!???
2. Mbona Mh Sugu hakuweza kuzungumzia hali ngumu badala yake akamsifu na kukiri anaunga mkono!???