Naumia sana ninapoona watu wanateseka mtaani kutokana na hali ngumu ya Maisha.
Naumia sana ninapoona watu wanateseka mtaani kutokana na uhaba wa umeme.
Naumia sana ninapoona watu wanateseka mtaani kutokana na uhaba wa maji.
Naumia sana ninapoona watu wanateseka mtaani kutokana na urasimu wa Viongozi wa umma katika kutoa huduma.
Naumia sana ninapoona watu wanateseka mtaani kutokana na wenye pesa kuzuiliwa kutoa michango yao ya huduma za kijamii kwa kuhofia kwamba wenye vyeo wasije kunyang'anywa vyeo vyao.
Naumia sana ninapoona watu wanateseka mtaani kutokana na uzembe wa Viongozi wetu wa umma.
Huu ni wakati wa kuamka na kuchukua hatua kali za maksudi.
Naumia sana ninapoona watu wanateseka mtaani kutokana na uhaba wa umeme.
Naumia sana ninapoona watu wanateseka mtaani kutokana na uhaba wa maji.
Naumia sana ninapoona watu wanateseka mtaani kutokana na urasimu wa Viongozi wa umma katika kutoa huduma.
Naumia sana ninapoona watu wanateseka mtaani kutokana na wenye pesa kuzuiliwa kutoa michango yao ya huduma za kijamii kwa kuhofia kwamba wenye vyeo wasije kunyang'anywa vyeo vyao.
Naumia sana ninapoona watu wanateseka mtaani kutokana na uzembe wa Viongozi wetu wa umma.
Huu ni wakati wa kuamka na kuchukua hatua kali za maksudi.