Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,322
- 4,996
Kila Kona tunaona mabango ya sifa na mapambio kwa mkuu "anaupiga mwingi anaupiga mwingi" lakini hali halisi ya mtaani ni tofauti sana kwa sasa upatikanaji wa pesa mtaani umekuwa ni mgumu mno gharama za maisha nazo zipo juu wananchi tunateswa sana hakuna kundi la watanzania lenye unafuu isipokuwa Viongozi wetu pekee ndio wanaofaidi keki ya taifa ata wewe mkuu ulikiri wazi kuwa wateule wako wanakula sana watanzania wengi wamebakia kubangaiza
Vijana na ukosefu wa ajira
Wastaafu na kikokotoo
Watumishi na udogo wa mishahara
Machinga na migambo
Wafanyabiashara na utitiri wa Kodi
Wakulima na ukosefu wa masoko
Vijana na ukosefu wa ajira
Wastaafu na kikokotoo
Watumishi na udogo wa mishahara
Machinga na migambo
Wafanyabiashara na utitiri wa Kodi
Wakulima na ukosefu wa masoko