Je, kumweleza kiongozi ameshindwa kazi aachie ni Jinai au Uhaini? Mbona Watu hawamwambii apumzike?

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,803
71,229
Kwanini mambo mengi sasa hivi ni mabovu au magumu namna hii?
Umeme hakuna, maji sehemu nyingi ni mateso. Ukienda Bank no foreign currency, mtaani pesa hakuna, mahospitalini hali ni mbaya tofauti na mtangulizi wake na ajira kwa vijana ndio zinazidi kupotea.

Lakini ajabu ni kuwa HAKUNA anayeweza kumuambia #1 umeshindwa ungetupisha sasa inatosha bali limejaa kundi la viongozi na wananchi wanaosema "anaupiga mwingi" huku wakimpigia chapuo uchaguzi ujao!

Kazi hiyo ya kusema AMESHINDWA tumewaachia viongozi wachache wa upinzani tena huku tukiwabeza kuwa "wanapinga kila kitu" utadhani sisi hatuishi ndani ya taabu hizi?

Je, kumshauri au kumwambia mkuu umechoka na mambo yamekushinda ni kosa la jinai? Mbona hawamwambii bali wana mpaka mafuta kwa mgongo wa chupa?

Tumsaidie kumkumbusha kwa heshima kuu, kuwa hatukumchagua awe #1 bali msaidizi wa Magu na aliweza, sasa hiki anaita "kitabu" ndio kimempa nafasi hii ambayo imemzidi kimo.
 
Kuongoza nchi ambayo kila mtu akipata cheo anawaza ulaji sio kitu cha mchezo. Inabidi ukubali kufunga watu jela mpaka wawe na adabu.

Ukiwa wa kuachia tu ndio mambo kama haya sasa!
 
Msoga na genge lake wanafurahia mnoo huu udhaifu.
Ni muda wa kurejesha walizopoteza awamu ya 5.

ccm wajanja sana, wamewekwa vijana kumsifia ili asishtuke wakati wenye chama wakiitafuna nchi.

Rais Samia mama yetu ukiachia hii nchi utasutwa sana kuwa ulikuwa si chochote
 
Si ninasikia kaenda kutuombea kazi tuwe Vijakazi huko Mashariki ya Kati?

Labda anatuonea huruma
 
Nchi yetu imejengwa juu ya misingi mibovu ya kiutawala,kisheria, kiuchumi, kielimu, kiafya n. K hivo kutengeneza watu wajinga, wasiowajibika , wabinafsi, wapenda rushwa katika sekta mbalimbali.kero za nchi hazisababishwi na raisi bali misingi mibovu katika masuala muhim kunakochagizwa na wananchi kukoka elimu bora.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kwanini mambo mengi sasa hivi ni mabovu au magumu namna hii?
Umeme hakuna, maji sehemu nyingi ni mateso. Ukienda Bank no foreign currency, mtaani pesa hakuna, mahospitalini hali ni mbaya tofauti na mtangulizi wake na ajira kwa vijana ndio zinazidi kupotea.
Mishahara inalipwa kwa vipande vipande
 
Kwanini mambo mengi sasa hivi ni mabovu au magumu namna hii?
Umeme hakuna, maji sehemu nyingi ni mateso. Ukienda Bank no foreign currency, mtaani pesa hakuna, mahospitalini hali ni mbaya tofauti na mtangulizi wake na ajira kwa vijana ndio zinazidi kupotea.

Lakini ajabu ni kuwa HAKUNA anayeweza kumuambia #1 umeshindwa ungetupisha sasa inatosha bali limejaa kundi la viongozi na wananchi wanaosema "anaupiga mwingi" huku wakimpigia chapuo uchaguzi ujao!

Kazi hiyo ya kusema AMESHINDWA tumewaachia viongozi wachache wa upinzani tena huku tukiwabeza kuwa "wanapinga kila kitu" utadhani sisi hatuishi ndani ya taabu hizi?

Je, kumshauri au kumwambia mkuu umechoka na mambo yamekushinda ni kosa la jinai? Mbona hawamwambii bali wana mpaka mafuta kwa mgongo wa chupa?

Tumsaidie kumkumbusha kwa heshima kuu, kuwa hatukumchagua awe #1 bali msaidizi wa Magu na aliweza, sasa hiki anaita "kitabu" ndio kimempa nafasi hii ambayo imemzidi kimo.
Kula kiongozi kageuka chawa
 
Kwanini mambo mengi sasa hivi ni mabovu au magumu namna hii?
Umeme hakuna, maji sehemu nyingi ni mateso. Ukienda Bank no foreign currency, mtaani pesa hakuna, mahospitalini hali ni mbaya tofauti na mtangulizi wake na ajira kwa vijana ndio zinazidi kupotea.

Tumsaidie kumkumbusha kwa heshima kuu, kuwa hatukumchagua awe #1 bali msaidizi wa Magu na aliweza, sasa hiki anaita "kitabu" ndio kimempa nafasi hii ambayo imemzidi kimo.
Tupo akina sisi tumeeleza humu Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda
Na kwa 2025, tumemshauri ama Kinyang'anyiro cha Urais 2025 kwa tiketi ya CCM: Dkt Mwinyi kuwania Urais wa Muungano? ama
Kama Sauti Hii ni Sauti ya Kweli, Nimeelezwa Mpango Ndio Mpango Mzima!. Swali ni... Akiwa Mkristo, Kwanini ni Lazima Awe Mkatoliki?!
P
 
Kumwambia Raisi na Uongozi wake mzima kuwa Wameshindwa Wamefeli ZERO BIN ZERO huku ukiorodhesha pale unapoona wameshindwa sio JINAI wala UHAINI ni FREEDOM OF SPEECH.

Hata MACHAWA yanune vipi hiyo ni HAKI yetu ya KIKATIBA.
 
Pasco, huyu mama tokea mwaka juzi nilisema awaangalie wale wazee wastaafu wachache waliobaki waliostaafu miaka ya 2000 kwenda nyuma na wanaishi na kulipwa pension ya laki moja moja na Hazina jinsi wanavyoteseka. Waliajiriwa kwa masharti ya Permanent & pensonable
Wengi wao walikuwa maofisa wa jeshi, madaktari, waalimu, wahandisi nk. Na walitumika kweli miaka hiyo ya 90 kurudi nyuma sasa wanateseka kwa kalaki kamoja na hataki kuwaongeza kawasahau kabisa. Laana yao itamtesa kuongoza.
Huwezi kudharau wazee waliotoka jacho wengine wamepigana vita ukabaki salama
 
Kwanini mambo mengi sasa hivi ni mabovu au magumu namna hii?
Umeme hakuna, maji sehemu nyingi ni mateso. Ukienda Bank no foreign currency, mtaani pesa hakuna, mahospitalini hali ni mbaya tofauti na mtangulizi wake na ajira kwa vijana ndio zinazidi kupotea.

Lakini ajabu ni kuwa HAKUNA anayeweza kumuambia #1 umeshindwa ungetupisha sasa inatosha bali limejaa kundi la viongozi na wananchi wanaosema "anaupiga mwingi" huku wakimpigia chapuo uchaguzi ujao!

Kazi hiyo ya kusema AMESHINDWA tumewaachia viongozi wachache wa upinzani tena huku tukiwabeza kuwa "wanapinga kila kitu" utadhani sisi hatuishi ndani ya taabu hizi?

Je, kumshauri au kumwambia mkuu umechoka na mambo yamekushinda ni kosa la jinai? Mbona hawamwambii bali wana mpaka mafuta kwa mgongo wa chupa?

Tumsaidie kumkumbusha kwa heshima kuu, kuwa hatukumchagua awe #1 bali msaidizi wa Magu na aliweza, sasa hiki anaita "kitabu" ndio kimempa nafasi hii ambayo imemzidi kimo.
Utafunguliwa kesi ya Uhaini.
 
Back
Top Bottom