Informer
JF-Expert Member
- Jul 29, 2006
- 1,586
- 6,638
Watu hawajapewa allowances zao ni mwezi wa 10 sasa, ikiwa ni pamoja na House, transport, meal.
Wafanyakazi TBC1 wameanza kubandika mabango notice board wakisema wamechoka wanataka posho!
Nani wa kuwasaidia watanzania wenzetu hawa?
UPDATE:
Leo Aprili 18, 2018 Mkurugenzi wa TBC, Ndg. Ayub Rioba atakutana na wafanyakazi wa TBC1 na kesho ataenda Pugu Road kuongea na wafanyakazi (kutuliza hali?)
Wafanyakazi TBC1 wameanza kubandika mabango notice board wakisema wamechoka wanataka posho!
Nani wa kuwasaidia watanzania wenzetu hawa?
UPDATE:
Leo Aprili 18, 2018 Mkurugenzi wa TBC, Ndg. Ayub Rioba atakutana na wafanyakazi wa TBC1 na kesho ataenda Pugu Road kuongea na wafanyakazi (kutuliza hali?)