Hali mbaya: Wafanyakazi TBC waanza kukosa uvumilivu

Nawashauri waandae kipindi maalum kirushwe live hapo tutajua kuwa sio wanafiki. Mbona wengine wakikosa mishahara wanaenda kukusanya habari au yao sio habari? Kama sio habari wanyamaze kimya
 
hawa wafanyakazi wa tbc wanafanya kazi serikali ya nchi gani? utitiri wa posho zisizo na msingi ulishafutwa siku nyingi sana. wachape kazi

mjomba una elimu kiasi gani? Meal, transport na posho ya kujikimu hizo mara zote ni kwa mujibu wa sheria ikiwemo housing allowance na posho ya kufanya kazi kwenye mazingira magumu . Allowance hizi zinatolewa kulingana na ngazi yacheo
 
mjomba una elimu kiasi gani? Meal, transport na posho ya kujikimu hizo mara zote ni kwa mujibu wa sheria ikiwemo housing allowance na posho ya kufanya kazi kwenye mazingira magumu . Allowance hizi zinatolewa kulingana na ngazi yacheo
sijasoma mkuu ila posho za kipuuzi zote zilishafutwa na serikali. nipe mfano wa posho ya mazingira magumu anayolipwa mtumishi wa tbc tofauti na mshahara wake
 
...Nidhamu ya uwoga ndio imewafikisha hapo confront your superiors na hoja za msingi ...mnalalaaama kwenye notice board vilaaazaaa kweeliii
 
Watu hawajapewa allowances zao ni mwezi wa 10 sasa, ikiwa ni pamoja na House, transport, meal.

Wafanyakazi TBC1 wameanza kubandika mabango notice board wakisema wamechoka wanataka posho!

View attachment 748562

Nani wa kuwasaidia watanzania wenzetu hawa?

UPDATE:
Leo Aprili 18, 2018 Mkurugenzi wa TBC, Ndg. Ayub Rioba atakutana na wafanyakazi wa TBC1 na kesho ataenda Pugu Road kuongea na wafanyakazi (kutuliza hali?)
hawa ndiyo washangiliaji wa ukandamizaji.. wacha waisome!
 
Ndio maana wamepauka maskini jamani kweli hali kwao ni ngumu sana. TBC imefifia mno ukiwasha TV ukachagua TBC unaweza kudhani TV yako mbovu .

Kumbe kufubaa huko hadi KWENYE posho za watumishi
Poleni sana TBCCM
 
kuna mtangazaji mmoja wa kiume anatangazaga yale mavipindi ya asubuhi yanayoanzaga saa kumi na mbili asubuhi he is very RUDE. Jina lake lipo kwenye agano jipya mwanzoni mwanzoni pale.
 
Back
Top Bottom