vipi ulimaanisha nini??Naona huu Ñî mpango kambambe wa kile kitengo cha IT .
Kwa bahati Nzuri mipango yao inabuma. JM kaishiwa mbuni.
ni vizuri maelezo yaje na sababu!!Katika hilo hali ni mbaya sana chadema katika uchaguzi huu na kuna hatari kubwa sana ya kupoteza majimbo mengi kama mwandishi alivyosema.Chama kinachoshika dola kwa sasa uwezekano wa kushinda majimbo mengi ni mkubwa sana hata zaidi ya hapo awali.
Mkuu huyu hawezi kuwa mtaalam wa IT wala hawezi kuwa ameajiriwa Tiss na kama ana ajira hiyo amepewa kindugu bado hana mafunzo yoyote. Hawa ndo Mzee wetu kinana anawaita mizigo.naona kitengo cha IT kazini. Pumba tupu
na nmejiongeza kweli na ndomana sipo ukawa wanao comment joining dates za wengine instead ya kufocus on points...
HALI MBAYA UKAWA:
Hali imezidi kuwa mbaya katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi kwa upande wa Ukawa baada ya chama cha mapinduzi kuweka mikakati mizuri ya ushindi,Mikakati hiyo ya CCM inewafanya UKAWA kushindwa kuwa na ushirikiano mzuri kiasi cha kila mmoja kujiangalia yeye binafsi katika eneo lake.
Kamati iliyoundwa kwa lengo la kumnadI mgombea wa urais, wajumbe wake wote wamerudi katika majimbo yao katika kuhakikisha wanashinda huku wakisema suala la urais wanamuachia mwenyewe Lowasa aangaike nalo kwani na wao wanaangalia ugali wa familia zao(yaan kila mtu afe na lake).
Kwa sasa lowasa amebaki na Sumaye pekee na hata Masha ameamua kumkimbia baada ya kusoma alama za nyakati.Aidha kwa upande wa mgombea mwenza Bw.Duni nae amechoka kuwafanyia kampeni chadema kwani takriban asilimia 95 ya majimbo anayopita kuna wagombea wa chadema kwa nafasi ya ubunge badala ya CUF,hali hiyo imemkatisha tamaa kiasi cha kufanya kampeni zake kama bora liende ili mradi tu atimize wajibu.
Aidha wagombea wa nafasi za ubunge hasa wa CHADEMA wanakabiliwa na ushindani mkubwa toka kwa CCM kutokana na namna chama hicho kilivyojipanga na pia kutumia utaratibu mzuri wa kumpata candidate wao katika eneo husika.Tofaut na vyama vya ukawa ambavyo wagombea wao wengi hawakukubaliana na utaratibu ule wa kuachiana majimbo,wengi wao ambao hawakupata wamekuwa na kinyongo kiasi cha kuhama au kufikiria kufanya hujuma ili wakose wote.
Kutokana na hali hiyo uchaguzi wa mwaka huu unaonekana utaleta matokeo ya ajabu na upo uwezekano mkubwa wale mapinzani maarufu wasirudi bungeni!Baadhi ya wabunge wanaotajwa kuja liona bunge kwa paa awamu ijayo ni Lema,Msigwa,Mkosamali,Lisu,Mnyika,Mbowe,Mbatia.Mwenyekiti wa CDM Bw Mbowe baada ya kuona hali hiyo ameamua kuondoka kwenda nje ya nchi japo kujituliza kiakili huku akijutia uamuzi alichukua wa kumkaribisha Lowasa ndani ya chama
kizuri chajiuza kibaya chajitembeza,,,,,,fisiem baada ya miaka 50 mnatoa ahadi mpya lukuki hamna
Hiyo Miaka 50 Lowassa Alikuwa Chama Gani?Nayeye Alishiriki Vilevile Kwenye Uundaji Na Utekelezaji Wa Hzo Ahadi Ambazo Leo Unaziponda Tena Alishika Position Ya Juu Kuliko "the One Who Makes Things Happen" Hon.Jpm Still He Did Nthng!!
Once I was blind but now I can see!
by Brehanna
Another day going by
as you sit and tell me lies
i try to believe it and not to cry
i was blind-but now i see it
hiding my pain and hurt inside
i hope you realize what you've done
but maybe its a lesson to be learned
you'll never change
thats for sure
i was blind-but now i see it
you call me names
and threaten me
why do i love you?
why do i stay?
i wish i had known
but you hide it so well
i was blind-but now i see it
Tatizo la vijana wa bavicha mkiambiwa ukweli bado mnakuwa wagumu sana kuelewa, ondoeni ushabiki, angalieni hali ilivo kwa umakini mtagundua kama mwandishi yupo sahihi na taarifa yake. Kule serengeti Mosena kaja juu hali kadhalika jimbo la Vunjo napo hali sio nzuri, bado mnakuwa wabishi!
Vijana wa ccm kiwango cha elimu ni kipi? Mbona mnaandikaga mambo yasiyolingana na kinachoendelea
kweli mmezidiwa sana mwaka huu
Hiyo Miaka 50 Lowassa Alikuwa Chama Gani?Nayeye Alishiriki Vilevile Kwenye Uundaji Na Utekelezaji Wa Hzo Ahadi Ambazo Leo Unaziponda Tena Alishika Position Ya Juu Kuliko "the One Who Makes Things Happen" Hon.Jpm Still He Did Nthng!!
vipi ulimaanisha nini??