Tony antony
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 4,988
- 3,270
Vijana wa IT KAZANENI nitawaongezea 7*3 na hela ya bundle.
M4C tunasonga tumehamia ukawa jamani
M4c=movement For Collapsing Ndo Mmehamia Ukawa Mkaiuwe Vizuri??
Vijana wa IT KAZANENI nitawaongezea 7*3 na hela ya bundle.
M4C tunasonga tumehamia ukawa jamani
Ccm imeshindwa kutatua kero ya umasikin kwa miaka yote siwez kuipa Kura yangu
M4c=movement For Collapsing Ndo Mmehamia Ukawa Mkaiuwe Vizuri??
Vijana wa IT nimewaongezea bundle ili wakaangukie pua vizuri
Inaonekana Upo Vizur Kukagua Profile Za Watu,hembu Niangalizie Na Yangu!!!Mbona Ukawa Kuna Id Mpya Zenu Nying Tu Humu Watu Hatupigi Kelele Af Zinasumbuasumbua Tu Kwa Propaganda Za Kishenzi Lakini Sisi Tumetulia Tu,nyie Badala Ya Kutoa Hoja Mnabaki Kuangalia Profile Za Watu Mmeishiwa?.....!
nakukaribisha uwanja wa taifa uone tunavoangukia pua vzuri pale Hon.John P Magufuli Akiwa Anaapishwa Kuwa Raisi Wa Awamu Ya 5 Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Weka ushabiki wa kisiasa pembeni usiombe kitu kama hicho. Yakitokea kama yaliyotokea Libya, wewe utapona?
...ni dhahiri uwezo mdogo wa kudadisi mambo unakusumbua.....
nani alikwambia inahitaji/kukulazimu kukagua profile ya mtu kujua kajiunga lini?
jiongeze ewe uliyejivika upofu na mahaba ya kigamba
Ongeza bundle kijana wangu wa IT.
IT za shule ya Kibajaj
Duh...mimeamini ukiwa ccm wewe ni mzigo kwa taifa..bora libya ije tu kama magufuli alivyosema tupunguzi hii mizigo..
naona kitengo cha IT kazini. Pumba tupu
Moja kati ya mikakati waliyoweka CCM ni kwenda kumuomba mama Maria Nyerere akamuombe Janeth (mke wa Magufuli) ili akubali kujiunga kwenye kampeni na mumewe....
Hiyo ndio wanayoita mikakati.......Vilaza.
Ccm imeshindwa kutatua kero ya umasikin kwa miaka yote
Yaani umelala kitandani na kuitunga habari yako hii...!!
Nakushauri uipeleke kwa nape au january makamba... italipa sana..!!
Mama Magufuli akitaka kupiga kampeni/kushiriki siasa basi yampasa kwanza ajiuzulu utumishi wa umma..!!
Ni kweli hali ni mbaya sana Lumumba.
Eti magufuli 4 change
basi mchukue na jina la Lowasa kabisa.
Tatizo mnataka muone kila mtu kwenye camera wakati haiendi hivyo. UKAWA ni watu wenye mpango mkakati
Unatokwa na mapovu tulia sindano ikuingie vizuri hujui kuwa UKAWA ni mpango wa Mungu
Fika Arsha uone moto wa Lema Monaban analia lia tu
Magamba wajinga sana. Mnadhani tumesahau jinsi wabunge wenu walivyozoea ndiyooo.... Then tutawakumbusha wakati wa mchakato wenu, nn kilitokea...maana rushwa ilikuwa nje nje na mkalalamikiana wenyewe kwa wenyewe... sasa leo mnataka kutuambia nini..??? kmnina
Hapo katumwa na kibajaji.
Kachukua posho Lumumba
Tehteh.....id maalumu kwa kazi maalumu
penye watu kumi saba ni ukawa ,wawili ni ccm na mmoja ni ACT
hahahaaaaaaaa... sasa kama mtu unashindwa hata kumshawishi mkeo akuunge mkono kwenye kampeni, utaweza kweli kuwa na ushawishi kwenye mambo ya kitaifa?
bundle ninalo la kutosha ndomana mpaka sasa hivi na comment sihitaji bundle zaidi
Ccm imeshindwa kutatua kero ya umasikin kwa miaka yote siwez kuipa Kura yangu