Join Date : 19th August 2015HALI MBAYA UKAWA:
Join Date :26th August 2015Tatizo la vijana wa bavicha mkiambiwa ukweli bado mnakuwa wagumu sana kuelewa, ondoeni ushabiki, angalieni hali ilivo kwa umakini mtagundua kama mwandishi yupo sahihi na taarifa yake. Kule serengeti Mosena kaja juu hali kadhalika jimbo la Vunjo napo hali sio nzuri, bado mnakuwa wabishi!
Uwezekano ni mdogo sana kwa chama hiki kupata majimbo hata waliyokuwa wakiongoza, CCM inaonekana imejipanga vizuri sana na mikakati yake ni mizito katika kuhakikisha kinashika dora na kuongoza viti vya ubunge.
Mama Magufuli akitaka kupiga kampeni/kushiriki siasa basi yampasa kwanza ajiuzulu utumishi wa umma..!!
Tyta leo umenifurahisha sana jinsi unavyowaumbua hawa jamaa..Kweli wana hali mbayaJoin Date : 19th August 2015
Join Date :26th August 2015
Join Date :19th August 2015
TEHTEH..ID MAALUMU KWA KAZI MAALUMU...#PROPAGANDA
SIFA YENU:HAMNA MUDA WA KUTOA LIKES(APPRECIATE).......TEHTEH,,,,,,,
hahahaaaaaaaa... sasa kama mtu unashindwa hata kumshawishi mkeo akuunge mkono kwenye kampeni, utaweza kweli kuwa na ushawishi kwenye mambo ya kitaifa?Moja kati ya mikakati waliyoweka CCM ni kwenda kumuomba mama Maria Nyerere akamuombe Janeth (mke wa Magufuli) ili akubali kujiunga kwenye kampeni na mumewe....
Hiyo ndio wanayoita mikakati.......Vilaza.
Muleba mapema leo....... endeleeni kutapatapa
View attachment 288262
View attachment 288263
View attachment 288264
Tehteh.....id maalumu kwa kazi maalumu