Amani bm 150
JF-Expert Member
- Aug 29, 2019
- 315
- 487
Biashara zimekua ngumu sana wanajamvi, mahitaji ya maisha yamekua mengi, hali za biashara zinadorora kila leo.
Watu tuna mikopo ila hayo marejesho tunapata tabu sana kurejesha kuna wakati nafikria labda nihamie mjini Dar, lakni sasa huo mziki wa kuhamia Dar ni bora nikomae hapa hapa Mbeya
Maana kuna jamaa zangu waliwahi kuhamia Dar walirudi wako hoi balaaa bora ya mimi tena. Tuache masihara sasahivi hata nidhamu ya kutunza hela inahitajika sana.
Watu tuna mikopo ila hayo marejesho tunapata tabu sana kurejesha kuna wakati nafikria labda nihamie mjini Dar, lakni sasa huo mziki wa kuhamia Dar ni bora nikomae hapa hapa Mbeya
Maana kuna jamaa zangu waliwahi kuhamia Dar walirudi wako hoi balaaa bora ya mimi tena. Tuache masihara sasahivi hata nidhamu ya kutunza hela inahitajika sana.