Teuzi inatafutwa.
Huwa nasoma sana mabandiko yako, haupo upande wowote na kama muandishi wa makala unafanya vizuri sana. Wale wanaotaka uponde kila siku, au wanaotaka usifu kila siku nadhani wanaumia.
Magu anazingua mengi, naamini anaharibu uchumi pia coz ni kweli kuwa purchasing power ya wengi imeshuka mno, biashara nyingi mi haziendi.
Nchi hii haihitaji rais anayejigeuza yeye ndiye katiba. Mpeleke nyumbani kwako mkasaidiane nae kumkanda mkeo.
hii screen shot hii...
hii screen shot hii...
uchochezihii screen shot hii...
Masikini mjinga ni wewe labda.Yeye anayejigeuza katiba hao alioshirikiana nao kugawana majumba ya serikali ndio waliofilisi hii nchi kiasi cha kuita wengine ambao hawajala keki ya taifa wananchi wanyonge. Nchi masikini wakati miaka yote inaongozwa na majambazi wa ccm! Awanyang'anye mali walizoiba kwanza na sio kuwanyang'anya mashamba akina Sumaye kisa wamehama chama au kuvunja jengo la umma la iliyokuwa Billcanas ili kumkomoa Mbowe kwa chuki za kijinga za kisiasa ambazo haziwasaidii wanaowaita wanyonge.nchi masikini na yenye wajinga wengi ili iendeee inahitaji mabavu, uliona wapi masikinina mjinga akapewa uhuru
Mkuu ROBERT HERIEL mkumbushe pia Rais Magufuli kuwa hata na wale ambao huwa wanamkosoa nao pia wanampenda hivyo awapende sana.
Ili anaye sujudiwa akitaka kufanya teuzi amkumbuke kwa haraka.Hizi namba huwa mnaziandika za kazi gani?
Hapo kwenye Club nakataa, labda useme sio mpenzi wa michezo yeyote.Mimi ni Mkweli
Nilishasema simmpigii Kura Magufuli na sikumpigia.
Nikimsema Magufuli kuna vimtu vipuuzi vinanifuata inbox na vingine kunipigia simu vikinitisha, wengne wakinipongeza.
Ninachojaribu kusema, mimi sio mfuasi wa yeyote, sio mtumwa wa Yeyote, sina chama, dini, club ya mpira, au mfuasi wa kundi lolote. Mimi ni tu huru, nafurahishwa na yeyote akifanya vizuri, na nachukizwa na yeyote anayefanya vibaya. Hilo pekee linanifanya nijivunie
Kwa hiyo unaandika hpa upate ajiraKazi zake ni nyingi Mkuu.
Mimi ni mwandishi wa Makala, waandishi wanajua umuhimu wa mawasiliano.
Mawasiliano ni biashara
Mawasiliano ni kazi
Mawasiliano ni Connection
Mawasiliano ni elimu
Mawasiliano na Utatuzi wa migogoro n.k
Hizo hoja zinamaelezo yake na ndio sababu ya watu wote unaowaona wakiacha mawasiliano kwenye maandishi wayaandikao.
Nafikiri nimekujibu
Hakukuwa na demokrasia miaka yote ya Nyerere tumefika wapi?
Hapo kwenye Club nakataa, labda useme sio mpenzi wa michezo yeyote.
Kitendo cha kua mpenzi wa mchezo wowote, lazima kuna kundi (club) ambayo utaiunga mkono.