Hali hii hapa Arusha imeikumba NACTE pia?

Hali hii hapa Arusha imeikumba NACTE pia?

Kirchhoff

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
5,940
Reaction score
8,889
Wakuu leo NACTE hakuingoliki. Je nako umeme umekatwa?

Watu twasubiri result first selection ati wanatuambia tusubiri second selection.

Wakati hui sie tunaoambiwa tusubiri second selection hatujui kama tumepita first selection, na hatujapewa nafasi ya kufanya hiyo second yenyewe.

Yaani tupo tupo tuuu.
 
Wamekua maarufu sana hawa jamaa kwa siku za hivi karibuni.
 
Hivi hawa nacte na sijui t.c.u wamewekwa kurudisha nyuma maendeleo ya elimu nchi hii?
 
Naona kwao umeme umerudi. Japo bado patupu hapaeleweki.
 
Umeme umerud mwingi unaunguza hadi vifaa vingine bora ungekaa hivo ili urudi kwa uhakika malalamiko yangepungua
 
Na nyie mtuliage bhana. Mshaambiwa deadline ya application ni Tarehe 23 (keshokutwa). Sasa mchecheto na presha vya nini?

Subirini deadline ipite ndiyo sasa muanze huo mchecheto.

Yaani mnataka watoe selection release kabla ya Deadline kuisha??!!

-Kaveli-
 
Samahanini wakuu.. Hivi arusha kuna ofisi za nacte kama zipo, zipo wapi yani arusha sehemu gani?
 
Duuuh hizo selection mbona wanazibania sana, alaf profile inabadilika badilika kila baada ya masaa machache, au wakuu ndo tushaapata nn wanaona noma kutuambia
 
Ila kwa kuwa sijaiona option ya ku-reapply, ninaasume nimeshachaguliwa ila sijui Kozi Gani.

Hapa tumalize ya nacte tuanze ya Heslb!
 
Back
Top Bottom