Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,607
- 46,245
Takwimu zikoje kuhusu wanawake wanaopata mimba nchini na wanaume wanaowapa mimba wanawake nchini pamoja na watoto wanaozaliwa bila kupanga?
Je, wengi humu JF na wengine nchini walizaliwa kwa wazazi wao kupanga au ilikuwa ni bahati mbaya kwa wazazi wao?
Je, wenye watoto, walipanga kuwazaa wote au baadhi yao ilikuwa ni bahati mbaya kutegwa ili waoe au kushawishiwa na ndugu jamaa na marafiki?
Ili tufikirie kuwa na mipango ya miaka 20 au 30 kuna mambo, hulka na tabia za jamii za kuzitizama kwa makini ili kuweza kufanikisha hilo.
Je, wengi humu JF na wengine nchini walizaliwa kwa wazazi wao kupanga au ilikuwa ni bahati mbaya kwa wazazi wao?
Je, wenye watoto, walipanga kuwazaa wote au baadhi yao ilikuwa ni bahati mbaya kutegwa ili waoe au kushawishiwa na ndugu jamaa na marafiki?
Ili tufikirie kuwa na mipango ya miaka 20 au 30 kuna mambo, hulka na tabia za jamii za kuzitizama kwa makini ili kuweza kufanikisha hilo.