Kinjekitile junior
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 4,404
- 581
Issue ya mzee kugawa mahotipoti vijijini kila nyumba imefikia wapi? Madaraka haya yanatafutwa kwa namna nyingi sana aiseee
Weka picha mkuu tuone harakati zake!
Issue ya mzee kugawa mahotipoti vijijini kila nyumba imefikia wapi? Madaraka haya yanatafutwa kwa namna nyingi sana aiseee
Umetoka bunda lini? hivi umeshaenda kwenye mikutano ya wasira? na ukaenda mikutano ya bullaya?
hizo ni tetesi tu subiri october 25,2015 ushindi wa kishindo kwa wassira kupitia ccm atasubiri sana bullaya
Huyu mzee mwenzangu nilimshauri hakunielewa halafu ana matusi mabaya sana kwa wapiga kura wake. Kwa mara ya kwanza nilimpigia kura mwaka 1975 tangu hapo mpaka leo kwa miaka 40 sasa hataki kusitaafu kwa heshima, ngoja anyooshwe na mjukuu.
Siyo kwa mtu aliyepitwa na wakati kama wasira , mtu anayeamini katika ubabe .Siku 24 ni nyingi sana kubadilisha mitazamo ya watu
Mimi sina shida na wasira ila hilo jina lako lol!.
cheki ​join date:Mm mwenyewe jana nimetoka hapo bunda watu wengi sana wakiwemo wanachadema wanamkubali sana wasira kwa maana hyoo bulaya asubiri kiti cha kuteuliwa tena maji ya shingo yameshamfika
Huyu mzee mwenzangu nilimshauri hakunielewa halafu ana matusi mabaya sana kwa wapiga kura wake. Kwa mara ya kwanza nilimpigia kura mwaka 1975 tangu hapo mpaka leo kwa miaka 40 sasa hataki kusitaafu kwa heshima, ngoja anyooshwe na mjukuu.