Kwakuteka nyara wagombea wapite bila kupingwa na kutumia hela na kutake advantage umaskini wa Watanzania mnaweza kushinda.Lakini hamsha shinda mioyo ya watuUkikaa kijiweni utasema cdm mwendo mdundo nisawa sikuwandika tu lkn kwasisi wafwasi wa cdm ndio tunaona madhara ya uzaifu ya wanaotuita wasaliti 2015 watatwambia sisi ni cdm wapeni nafasi ya kuongea naniwakikishie cdm udiwani 9/2/2014 wataipata sisi tunaoitwa wasaliti ipo siku watatwambia nicdm
Ukishakula nyama ya mtu utaendelea kula milele....
Ngoja nitengeneze picha...ngumi za kavukavu Slaa vs Mbowe ....Mbowe akitaka amkalishe babu Slaa ahakikishe hakuna fimbo jirani....maana kina garma kwa kutumia fimbo ni noma.....
Pumba hizi niwazi ni aina ya kusherehekea kupanda cheo kwa mfadhili wa wasaliti Mwigulu NchembaCHADEMA HALI BADO TETE. SASA NI MBOWE vs SLAA. Baada ya kutokufanikiwa kumvua uanachama wake na kufanikiwa kumvua nyadhifa zake zote ndani ya chama na ndani ya bunge sasa hali sio nzuri ndani ya chama na hasa viongozi wakuu M/kiti na Katibu wake ndani ya chama. Mwanaripota wetu ndani ya mtaa wa UFIPA yaliopo makao makuu ya chama anadai kumekuwepo na vikao vya Mara kwa Mara baada tu kusigana na Mzalendo zito zuberi kabwe. Moja kati ya ajenda jadiliwa kwenye kikao ni namna gani wataunda baraza kivuli la mawaziri baada ya kumvua nyadhifa zake zito., Msuguano mkubwa uliopo kati ya Mbowe na Slaa ni huu. Mbowe anataka kuunda baraza kivuli akivishirikisha vyama pinzani bungeni vyenye wabunge yeye km kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ameona upungufu huo na kutakakuunganisha nguvu. Nae katibu wa chama kama mgombea urais aliepita yeye hakubaliani na M/kiti wake na kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ktk suaka la kuunda kambi ya pamoja ya upinzani bungeni.,yeye anataka wasifanye badiliko lolote ndani ya bunge . Mimi najiuliza Je?ni nani mwenye sauti ndani ya chama?kati ya Mbowe na Slaa, sijapata jibu hapo. Kusigana huko kwenye vikao kulifanya kutengeneza Makundi mengine mawili tena, Sasa kuna kundi la Mbowe vs Slaa ndani ya chama ukiliweka pembeni lile la Mzalendo. Tujiulize nini Matokeo yake na mwisho WAO. Kwa chuki zao mbaya, Roho zao mbaya na hata Ubinafsi WAO wakuwachukia wenzao maeneo wanayotokea bila kujali utaifa na umaskini tulionao. Yamebainika nayatatokea mengi ndani ya CHADEMA. Watanzania na wanachadema wako viongozi makini kwenye vyama hivi vya upinzani tusione haya kuhamia huko kwani hiyo sio dini useme utaulizwa na Baba au mkee hiyo ni siasa na ni MFUMO wa Maisha yk pindi unapopata kiongozi mzuri.
Hapa katikati naona walikuwa hawalipwi maana kambi ya Zito ilidolola,nahata Mwigulu asinge toa hela mstkabali ulikuwa haujulikani kwa wasaliti.Lakini Mwigulu amepanda cheo matumaini ya biashara ya usaliti imeanza kufufuka.Walikuwa na hali mbaya kweli.Zito mwenyewe alikuwa hawalipi.Jinsi ulivyomalizia ndiyo umeharibu kabisa. Kwahiyo inamaana kila kunapotokea tofauti katika viongozi, dawa yake ni kuhama chama. Inamaana kumbe watu wanajiunga na vyama sababu ya kiongozi fulani. Kwani kama chama hakuna utaratibu kwa kushughulikia hizo tofauti kidemokrasia? Kwani maamuzi ya kiongozi mmoja ndiyo maamuzi ya chama na wanachama wote? Nini misingi ya chama. je unafahamu sera ya chama chako unachokiamini/kitumikia? Unaridhika na mwenendo wa maamuzi/utekelezaji wa sera za chama chako. Kwani hilo jambo haliwezi kujadiliwa katika vikao vya chama na kutolewa uamuzi?
Sijui ndo ukichaa huu au nisemeje......
CHADEMA HALI BADO TETE.
SASA NI MBOWE vs SLAA.
Baada ya kutokufanikiwa kumvua uanachama wake na kufanikiwa kumvua nyadhifa zake zote ndani ya chama na ndani ya bunge sasa hali sio nzuri ndani ya chama na hasa viongozi wakuu M/kiti na Katibu wake ndani ya chama.
Mwanaripota wetu ndani ya mtaa wa UFIPA yaliopo makao makuu ya chama anadai kumekuwepo na vikao vya Mara kwa Mara baada tu kusigana na Mzalendo zito zuberi kabwe.
Moja kati ya ajenda jadiliwa kwenye kikao ni namna gani wataunda baraza kivuli la mawaziri baada ya kumvua nyadhifa zake zito.,
Msuguano mkubwa uliopo kati ya Mbowe na Slaa ni huu.
Mbowe anataka kuunda baraza kivuli akivishirikisha vyama pinzani bungeni vyenye wabunge yeye km kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ameona upungufu huo na kutakakuunganisha nguvu.
Nae katibu wa chama kama mgombea urais aliepita yeye hakubaliani na M/kiti wake na kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ktk suaka la kuunda kambi ya pamoja ya upinzani bungeni.,yeye anataka wasifanye badiliko lolote ndani ya bunge .
Mimi najiuliza Je?ni nani mwenye sauti ndani ya chama?kati ya Mbowe na Slaa, sijapata jibu hapo.
Kusigana huko kwenye vikao kulifanya kutengeneza Makundi mengine mawili tena,
Sasa kuna kundi la Mbowe vs Slaa ndani ya chama ukiliweka pembeni lile la Mzalendo.
Tujiulize nini Matokeo yake na mwisho WAO.
Kwa chuki zao mbaya, Roho zao mbaya na hata Ubinafsi WAO wakuwachukia wenzao maeneo wanayotokea bila kujali utaifa na umaskini tulionao.
Yamebainika nayatatokea mengi ndani ya CHADEMA.
Watanzania na wanachadema wako viongozi makini kwenye vyama hivi vya upinzani tusione haya kuhamia huko kwani hiyo sio dini useme utaulizwa na Baba au mkee hiyo ni siasa na ni MFUMO wa Maisha yk pindi unapopata kiongozi mzuri.
CHADEMA HALI BADO TETE.
SASA NI MBOWE vs SLAA.
Baada ya kutokufanikiwa kumvua uanachama wake na kufanikiwa kumvua nyadhifa zake zote ndani ya chama na ndani ya bunge sasa hali sio nzuri ndani ya chama na hasa viongozi wakuu M/kiti na Katibu wake ndani ya chama.
Mwanaripota wetu ndani ya mtaa wa UFIPA yaliopo makao makuu ya chama anadai kumekuwepo na vikao vya Mara kwa Mara baada tu kusigana na Mzalendo zito zuberi kabwe.
Moja kati ya ajenda jadiliwa kwenye kikao ni namna gani wataunda baraza kivuli la mawaziri baada ya kumvua nyadhifa zake zito.,
Msuguano mkubwa uliopo kati ya Mbowe na Slaa ni huu.
Mbowe anataka kuunda baraza kivuli akivishirikisha vyama pinzani bungeni vyenye wabunge yeye km kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ameona upungufu huo na kutakakuunganisha nguvu.
Nae katibu wa chama kama mgombea urais aliepita yeye hakubaliani na M/kiti wake na kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ktk suaka la kuunda kambi ya pamoja ya upinzani bungeni.,yeye anataka wasifanye badiliko lolote ndani ya bunge .
Mimi najiuliza Je?ni nani mwenye sauti ndani ya chama?kati ya Mbowe na Slaa, sijapata jibu hapo.
Kusigana huko kwenye vikao kulifanya kutengeneza Makundi mengine mawili tena,
Sasa kuna kundi la Mbowe vs Slaa ndani ya chama ukiliweka pembeni lile la Mzalendo.
Tujiulize nini Matokeo yake na mwisho WAO.
Kwa chuki zao mbaya, Roho zao mbaya na hata Ubinafsi WAO wakuwachukia wenzao maeneo wanayotokea bila kujali utaifa na umaskini tulionao.
Yamebainika nayatatokea mengi ndani ya CHADEMA.
Watanzania na wanachadema wako viongozi makini kwenye vyama hivi vya upinzani tusione haya kuhamia huko kwani hiyo sio dini useme utaulizwa na Baba au mkee hiyo ni siasa na ni MFUMO wa Maisha yk pindi unapopata kiongozi mzuri.
[B said:Yamebainika nayatatokea mengi ndani ya CHADEMA.[/B]
Watanzania na wanachadema wako viongozi makini kwenye vyama hivi vya upinzani tusione haya kuhamia huko kwani hiyo sio dini useme utaulizwa na Baba au mkee hiyo ni siasa na ni MFUMO wa Maisha yk pindi unapopata kiongozi mzuri.
Hali tete unajuaje kijana wakati habari zako zina element ya udaku. Kila kitu ulichoweka ni tetesi
CHADEMA HALI BADO TETE.
SASA NI MBOWE vs SLAA.
Baada ya kutokufanikiwa kumvua uanachama wake na kufanikiwa kumvua nyadhifa zake zote ndani ya chama na ndani ya bunge sasa hali sio nzuri ndani ya chama na hasa viongozi wakuu M/kiti na Katibu wake ndani ya chama.
Mwanaripota wetu ndani ya mtaa wa UFIPA yaliopo makao makuu ya chama anadai kumekuwepo na vikao vya Mara kwa Mara baada tu kusigana na Mzalendo zito zuberi kabwe.
Moja kati ya ajenda jadiliwa kwenye kikao ni namna gani wataunda baraza kivuli la mawaziri baada ya kumvua nyadhifa zake zito.,
Msuguano mkubwa uliopo kati ya Mbowe na Slaa ni huu.
Mbowe anataka kuunda baraza kivuli akivishirikisha vyama pinzani bungeni vyenye wabunge yeye km kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ameona upungufu huo na kutakakuunganisha nguvu.
Nae katibu wa chama kama mgombea urais aliepita yeye hakubaliani na M/kiti wake na kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ktk suaka la kuunda kambi ya pamoja ya upinzani bungeni.,yeye anataka wasifanye badiliko lolote ndani ya bunge .
Mimi najiuliza Je?ni nani mwenye sauti ndani ya chama?kati ya Mbowe na Slaa, sijapata jibu hapo.
Kusigana huko kwenye vikao kulifanya kutengeneza Makundi mengine mawili tena,
Sasa kuna kundi la Mbowe vs Slaa ndani ya chama ukiliweka pembeni lile la Mzalendo.
Tujiulize nini Matokeo yake na mwisho WAO.
Kwa chuki zao mbaya, Roho zao mbaya na hata Ubinafsi WAO wakuwachukia wenzao maeneo wanayotokea bila kujali utaifa na umaskini tulionao.
Yamebainika nayatatokea mengi ndani ya CHADEMA.
Watanzania na wanachadema wako viongozi makini kwenye vyama hivi vya upinzani tusione haya kuhamia huko kwani hiyo sio dini useme utaulizwa na Baba au mkee hiyo ni siasa na ni MFUMO wa Maisha yk pindi unapopata kiongozi mzuri.