Hali bado tete bei ya sukari

Nyie vijana au watu (maana sijui umri wako) mna matatizo makubwa mno kuhusu uelewa wa issues....mnachukulia mambo kijuuujuu...mnafanya dhihaka kwa kila kitu...hamtulii ili muweze kuelewa mambo...mnakurupuka...mnatanguliza itikadi, siasa na ushabiki mbele...hamtaki kuelewa...ni wabishi...mnamdhihaki Rais...mnamlisha maneno Rais....mnafanya utani na taasisi ya Urais...hamjielewi... Sasa, nakwambia kwamba Rais Magufuli hakuwahi kusema sukari itagawiwa bure kwa Watanzania...alichosema na ambacho wewe umekiri katika andiko lako hili ni kuwa alisema sukari itakayokamatwa IMEFICHWA itagawiwa bure... Na hili limefanyika kuna sukari ilikamatwa huko mikoa ya kusini kati ya Mtwara na Lindi sukari hiyo ilikuwa imefichwa na iligawiwa bure kwenye vyombo vya dola...
Huo hapo ni uongo.....na unafiki ,uwe na kumbukumbu......zike tani 5000 ,zilizokamatwa pale mbagala ndo rais....aliseme zingegawiwa...na kule mtwara ,wale TRA ,ndo waligawa ile sukari iliyoingizwa kimagendo nchini...kulikuwa na wafanya biashara wengi waliokuwa na sukari walio kamatwa nayo,hata kule dodoma..ila agizo la kugawiwa halikutekelezwa,tena mlikuja hapa kwa mbwembwe,na kujisifia ..leo mnakana aibu yenu....
 
Huo hapo ni uongo.....na unafiki ,uwe na kumbukumbu......zike tani 5000 ,zilizokamatwa pale mbagala ndo rais....aliseme zingegawiwa...na kule mtwara ,wale TRA ,ndo waligawa ile sukari iliyoingizwa kimagendo nchini...kulikuwa na wafanya biashara wengi waliokuwa na sukari walio kamatwa nayo,hata kule dodoma..ila agizo la kugawiwa halikutekelezwa,tena mlikuja hapa kwa mbwembwe,na kujisifia ..leo mnakana aibu yenu....

Ulichoandika hapa sielewi....unaweza kukamata kitu au sukari lakini baadaye ikathibitika kuwa kumbe ilikuwa haijafichwa kutokana na nyaraka zilizopo...
 
kumbe haikuwa ya kugawa kwa wananchi?

It is interesting...kwani vyombo vya dola siyo wananchi???!!!!! au kwenye vyombo vya dola tuna watu kutoka nje kwa maana ya Kenya, Zambia, Rwanda na kadhalika?????....
 
Ulichoandika hapa sielewi....unaweza kukamata kitu au sukari lakini baadaye ikathibitika kuwa kumbe ilikuwa haijafichwa kutokana na nyaraka zilizopo...
Sasa huko ndo kukurupuka......unatangazia uma kitu hafu unaendana kamera na kutuambia umekamata kumbe ni usanii tu
 
wanawake mi nawapenda kweli afu nawaheshimu maana nikiwa na stress nikipewa nachopewaga na mwanamke wangu basi tena sukari hata iuzwe 10,000 kilo nitanunua.
watanzania wameathiriwa na siasa hata kama kilo moja ya sukari ikiuzwa mia tano bado watalalamika tu lazima watasema haina ubora kwa nini iuzwe bei ndogo hivyo mbona ilipopanda ikawa inauzwa 6000 - 8000 kwa kilo kwa mjini na vijijini iliuzwa 10000 kwa kilo lakini watu bado walikuwa wananua tu leo hii bei imeshuka bado wanaleta porojo zao za kisiasa
 
Acheni propaganda za uchinvi jana nimenunua sukari dukani pale soko la kilombero tena ta TPC bei Tshs. 2200.00, niliuliza bei ya kigunia cha kilo hamsini nikaambiwa ni Tsh. 110,000.00 wewe umetapeliwa!!!!

Sasa mkubwa kama bei ya jumla ya mfuko wa 50kg ni TZS 110,000 na wewe umenunua kilo TZS 2,200 bei ya reja reja dukani, huyo mwenye duka mbona atakuwa anafanya biashara kichaa?

Nasema ni biashara kichaa kwa sbb huyo ameinunua kwa bei hiyo ya jumla na yeye kaamua kugawa bure kwa sbb hakuna faida iwapo kweli anauza kilo moja kwa TZS 2,200 kwa sababu;

2,200 × 50kg = TZS 110,000!!

Au umekuja hapa kutudanganya tu mchana kweupe??

Ni wazi ili huyu retail trader apate faida ingalau ya kati ya TZS 15,000 - 30,000 ktk mfuko mmoja wa kilo 50, ni lazima auze bei ya reja reja ya kati ya TZS 2,600 - 3,000 kwa kilo moja iwapo yeye kanunua bei ya jumla hiyo uliyosema ya TZS 110,000!!

Kwa hiyo, in short kabisa......wewe ni mwongo, period!!
 
Sasa mkubwa kama bei ya jumla ya mfuko wa 50kg ni TZS 110,000 na wewe umenunua kilo TZS 2,200 bei ya reja reja dukani, huyo mwenye duka mbona atakuwa anafanya biashara kichaa?

Nasema ni biashara kichaa kwa sbb huyo ameinunua kwa bei hiyo ya jumla na yeye kaamua kugawa bure kwa sbb hakuna faida iwapo kweli anauza kilo moja kwa TZS 2,200 kwa sababu;

2,200 × 50kg = TZS 110,000!!

Au umekuja hapa kutudanganya tu mchana kweupe??

Ni wazi ili huyu retail trader apate faida ingalau ya kati ya TZS 15,000 - 30,000 ktk mfuko mmoja wa kilo 50, ni lazima auze bei ya reja reja ya kati ya TZS 2,600 - 3,000 kwa kilo moja iwapo yeye kanunua bei ya jumla hiyo uliyosema ya TZS 110,000!!

Kwa hiyo, in short kabisa......wewe ni mwongo, period!!
Huyo ni muongo km sukari ni 2200 atuambie ni supermakert ipi inauz abei hiyo
 
Acheni propaganda za uchinvi jana nimenunua sukari dukani pale soko la kilombero tena ta TPC bei Tshs. 2200.00, niliuliza bei ya kigunia cha kilo hamsini nikaambiwa ni Tsh. 110,000.00 wewe umetapeliwa!!!!
Huyo inabid akamatwe maana bei elekez ni 2300
 
Unajua kuna watu their so opportunist kila kitu wao wanatafuta kasoro ukweli ni kwamba the government cannot solve all of our problems but most of so kuwa mpole
 
Hivi hali ya sukari ipoje kwa sasa? Naona kimya hatuaikii malalamiko kutoka kwa wananchi.
 
Sukari ni ANASA, hivi usipokunywa utakufa?

Bei elekezi kwani viwanda vinapewa ruzuku ya serikali?

TRA wanapunguza kodi.

Mwafaa!!!!!!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom