mndorwe
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 2,472
- 1,027
Huo hapo ni uongo.....na unafiki ,uwe na kumbukumbu......zike tani 5000 ,zilizokamatwa pale mbagala ndo rais....aliseme zingegawiwa...na kule mtwara ,wale TRA ,ndo waligawa ile sukari iliyoingizwa kimagendo nchini...kulikuwa na wafanya biashara wengi waliokuwa na sukari walio kamatwa nayo,hata kule dodoma..ila agizo la kugawiwa halikutekelezwa,tena mlikuja hapa kwa mbwembwe,na kujisifia ..leo mnakana aibu yenu....Nyie vijana au watu (maana sijui umri wako) mna matatizo makubwa mno kuhusu uelewa wa issues....mnachukulia mambo kijuuujuu...mnafanya dhihaka kwa kila kitu...hamtulii ili muweze kuelewa mambo...mnakurupuka...mnatanguliza itikadi, siasa na ushabiki mbele...hamtaki kuelewa...ni wabishi...mnamdhihaki Rais...mnamlisha maneno Rais....mnafanya utani na taasisi ya Urais...hamjielewi... Sasa, nakwambia kwamba Rais Magufuli hakuwahi kusema sukari itagawiwa bure kwa Watanzania...alichosema na ambacho wewe umekiri katika andiko lako hili ni kuwa alisema sukari itakayokamatwa IMEFICHWA itagawiwa bure... Na hili limefanyika kuna sukari ilikamatwa huko mikoa ya kusini kati ya Mtwara na Lindi sukari hiyo ilikuwa imefichwa na iligawiwa bure kwenye vyombo vya dola...