Hali bado tete bei ya sukari

Suala la sukari lishashindikana,pia bei ikipanda huwa ni ngumu sana kushusha other wise supply of Goods iongezeke mara dufu
 
wakubwa wa kazi. sukari kama dola ya marekani tu. ina flactuate inavotaka. ina-spini inavyopenda. ili mradi tu tuisome namba.

baada ya kufika kazini na kugundua muajiri bado hajanunua sukari kwa ajili ya wafanyakazi wake nikaona isiwe tabu. ngoja nijikune mwenyewe. nikatoa 3000 nikaagiza rafiki akaniletee sukari. hapo hapo nikiamini chenji haikosi kuwa 600 ambapo nitapata maandazi matatu kwa Mama Kemia (watu wa Iyunga Tech mnamkumbuka huyu mama?)

majibu ya niliyemtuma ni kama mnavoona hiyo attachment.

View attachment 375773

huku makambako, njombe bei ni sh2500 kwa 1kg.
 
Ni wapi ilitamkwa kuwa sukari itagawiwa bure Tanzania nzima?? Ni nani alisema hivyo??!!! Mbona mnaleta mnasambaza propaganda zisizo na maana???
Alcema ktk moja ya mikutano yake kuw atakae kutwa na sukar kaificha ghalan/nyumban kwake hyo sukar atanyang'anywa na kugaiwa wananch buree,,,,, xaxa wangap walkutwa nazo afu cha maana hakuna,, punguza mzuka dogo!
 
wakubwa wa kazi. sukari kama dola ya marekani tu. ina flactuate inavotaka. ina-spini inavyopenda. ili mradi tu tuisome namba.

baada ya kufika kazini na kugundua muajiri bado hajanunua sukari kwa ajili ya wafanyakazi wake nikaona isiwe tabu. ngoja nijikune mwenyewe. nikatoa 3000 nikaagiza rafiki akaniletee sukari. hapo hapo nikiamini chenji haikosi kuwa 600 ambapo nitapata maandazi matatu kwa Mama Kemia (watu wa Iyunga Tech mnamkumbuka huyu mama?)

majibu ya niliyemtuma ni kama mnavoona hiyo attachment.

View attachment 375773
Mkuu hapo kwa mama kemia umenikumbusha mbali,umenikumbusha Yale Ma GT aisee!
 
wakubwa wa kazi. sukari kama dola ya marekani tu. ina flactuate inavotaka. ina-spini inavyopenda. ili mradi tu tuisome namba.

baada ya kufika kazini na kugundua muajiri bado hajanunua sukari kwa ajili ya wafanyakazi wake nikaona isiwe tabu. ngoja nijikune mwenyewe. nikatoa 3000 nikaagiza rafiki akaniletee sukari. hapo hapo nikiamini chenji haikosi kuwa 600 ambapo nitapata maandazi matatu kwa Mama Kemia (watu wa Iyunga Tech mnamkumbuka huyu mama?)

majibu ya niliyemtuma ni kama mnavoona hiyo attachment.

View attachment 375773
Umepigwa mkubwa, hakuna bei hyo tz, hususani dar
..
Think
 
ImageUploadedByJamiiForums1470298272.833487.jpg

Wewe ni Chief yupi,
Au Lutalosa Yembe?
 
Alcema ktk moja ya mikutano yake kuw atakae kutwa na sukar kaificha ghalan/nyumban kwake hyo sukar atanyang'anywa na kugaiwa wananch buree,,,,, xaxa wangap walkutwa nazo afu cha maana hakuna,, punguza mzuka dogo!

Duh, hii JF kuna watu wa ajabu...Ulichoandika hapa ni tofauti kabisa na yule aliyesema kuwa kuna mtu au kiongozi aliyetamka kuwa sukari itagawiwa bure kwa watanzania...hizi ni kauli mbili tofauti .....Kwa baadhi yetu inafika wakati mtu unaanza kujiuliza kama ni sahihi kuanza kubishana au kujadiliana na watu wa aina hii ambao hawawezi kutofautisha kauli hizi mbili...
 
Tumeambiwa kuwa na sukari ya kutosha LABDA 2020, kwa sasa hata ukiipata kwa shilingi 10,000/= shukuru maana ni bidhaa adimu, kwa kauli ya waziri mkuu"tujitosheleze kwa SUKARI ifikapo 2020. Sukari tu hatuna uhakika halafu tunashangili kila kauli ya mkuu aliikuta 2,000/= kitilia neno tu imefika 6,000/= Tuendelee kusoma namba ya bei.
 
huku makambako, njombe bei ni sh2500 kwa 1kg.

Inategemea ntu na ntu Mkuu.Mimi mwenye nahitaji sana kwa hio bei ya 2200/= Nitanunua walau kilo kumi maana kwa bei hii ambayo haieleweki leo inapanda kesho inashuka lazima tuwe na huu utamu wa kutosha ndani.

Mkuu hongera kwa kununua sukari bei hiyo kwani Hapa nilipo ni wilayani tena ndipo alipotokea kiongozi mkubwa tu wa nchi hii ambae yupo Kwenye operation ya tumbua majipu.

lakini sukari tunanunua kg1 sh.3000 kusema kweli siyo Dhambi na kama naongopa basi Mungu anihukumu kwa kuongopa.

Uko nchi ipi kijana ? sukari kilo ni Tshs 2,200 jana nimenunua dukani. Na hata nenda supermarkets mbali mbali haizidi bei ya Tshs 2,200/=. Au wataka sukari ipi upewe ?

Hapa nilpo inauzwa 2,600. Ni Dar hii hii.
 
Acha unafiki mfalme alituambia...tena mkaja huku mkifurahi alisema sukari atakayo kamata itagawiwa bure...au unamasikio tenge nn ??

Nyie vijana au watu (maana sijui umri wako) mna matatizo makubwa mno kuhusu uelewa wa issues....mnachukulia mambo kijuuujuu...mnafanya dhihaka kwa kila kitu...hamtulii ili muweze kuelewa mambo...mnakurupuka...mnatanguliza itikadi, siasa na ushabiki mbele...hamtaki kuelewa...ni wabishi...mnamdhihaki Rais...mnamlisha maneno Rais....mnafanya utani na taasisi ya Urais...hamjielewi... Sasa, nakwambia kwamba Rais Magufuli hakuwahi kusema sukari itagawiwa bure kwa Watanzania...alichosema na ambacho wewe umekiri katika andiko lako hili ni kuwa alisema sukari itakayokamatwa IMEFICHWA itagawiwa bure... Na hili limefanyika kuna sukari ilikamatwa huko mikoa ya kusini kati ya Mtwara na Lindi sukari hiyo ilikuwa imefichwa na iligawiwa bure kwenye vyombo vya dola...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom