Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,649
Mimi nipo parokia ya Mtakatifu Petro, pale Mbuyuni
Kwi kwi kwi........nitakuwa mgeni wenu Dominica hii, msalimie Father Mosha.....mimi niko St Joseph.....
Mimi nipo parokia ya Mtakatifu Petro, pale Mbuyuni
Kwi kwi kwi........nitakuwa mgeni wenu Dominica hii, msalimie Father Mosha.....mimi niko St Joseph.....
Funguka Kaizer kwa Yusuph au kwa Petro?
Kwa Petero lol...we si umesema upo kwa Yusuph? Njoo kwa Petero sasa Elizabeth Dominic
sasa mbona unanichanganya Elizabeth DominicKwi kwi kwi........nitakuwa mgeni wenu Dominica hii, msalimie Father Mosha.....mimi niko St Joseph.....
hapo nilielewa Kaizer, alichonichanganya ni cha kuandika wakatoliki mna.......... wakati huku inaonyesha ni mkatoliki, ila kashaniweka sawa.Atakuja St Peters Dominica hii Fixed Point
hapo nilielewa Kaizer, alichonichanganya ni cha kuandika wakatoliki mna.......... wakati huku inaonyesha ni mkatoliki, ila kashaniweka sawa.
Asante
Sunday utahudhuria Misa ya saa ngapi? karibu sana kwetu Elizabeth DominicPole Fixed Point....see u Sunday
Atakuja St Peters Dominica hii Fixed Point
Sunday utahudhuria Misa ya saa ngapi? karibu sana kwetu Elizabeth Dominic
Karibu sanaNitajitahidi Misa ya Pili nikichelewa nitakuja ya saa tano hiyo ya watoto.......lol
Karibu sana
Mimi napenda ule wa
"Sikukuu, sikuu ya kuoshwa dhambi zangu kuu.
kukesha na kuomba tu.....". mia
Aaah huu wimbo si mchezo bwana mtunzi nasikia alioteshwa!