BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,496
- 5,693
Cheki hapo,
Ugali mboga tano,kudadadeki kabisa,kwa elfu moja tu.ukiwa na mke hapo utakula mboga moja na mkwanja utakaoacha home zaidi ya 5000.
Ndio maana kwa huduma hizi watu Hawaii hapa jijini DSM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ugali mboga tano,kudadadeki kabisa,kwa elfu moja tu.ukiwa na mke hapo utakula mboga moja na mkwanja utakaoacha home zaidi ya 5000.
Ndio maana kwa huduma hizi watu Hawaii hapa jijini DSM.
Sent using Jamii Forums mobile app