Dr wa Manesi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 4,398
- 3,330
Kuna mambo kadhaa yananipa mashaka mjue, Kila siku hisia za kwamba hii CCM inaweza kuwa ni project ya chadema zinazidi kujaa akilini mwangu. Hebu angalieni vizuri mambo haya machache makubwa;
1. Mbona viongozi wote wa chadema baada ya muda wanajiunga ccm?!! Hii CCM sio project ya chadema kweli?
2. Kunenepa kwa lissu. How come mtu aliye mahabusu anenepe na kunawiri vile?!!!! Hili linawezekana tu ikiwa wakamataji ni project ya kikundi cha aliyekamatwa.
Na mengine meeengi. Au wenzangu wanaJF a.k.a great thinkers mnasemaje?!!!!
1. Mbona viongozi wote wa chadema baada ya muda wanajiunga ccm?!! Hii CCM sio project ya chadema kweli?
2. Kunenepa kwa lissu. How come mtu aliye mahabusu anenepe na kunawiri vile?!!!! Hili linawezekana tu ikiwa wakamataji ni project ya kikundi cha aliyekamatwa.
Na mengine meeengi. Au wenzangu wanaJF a.k.a great thinkers mnasemaje?!!!!