Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,671
Wala bado zipo..nahisi mmefuta!
Huwa tunakaaga tunazipitia tena.. Tunachekaaaaa
Wala bado zipo..nahisi mmefuta!
Teh teh..Hela ya sadaka sina bro ndo mana mahudhurio yamepungua
Pamoja bro..Bora umetoa ufafanuzi maana Evelyn salt alikuwa anajua umeshaharibu sehemu..Nilihitaji upgrade ya Paulo, kati ya Frank Lee Morris na Dan Cooper. Dan akashinda. Na pia nilidhani naikimbia mizigo ya Paulo.
Cc Kaboom, Evelyn Salt, Nifah, geniveros
Pamoja bro..Bora umetoa ufafanuzi maana Evelyn salt alikuwa anajua umeshaharibu sehemu..
Wala bado zipo..
Huwa tunakaaga tunazipitia tena.. Tunachekaaaaa
Hebu tuzione nasie wengine lolWala bado zipo..
Huwa tunakaaga tunazipitia tena.. Tunachekaaaaa
...hatimaye umenena.lolHii kama ni movie inastahili 'Oscar'
What? Ina maana sikuwahi kuchangia hii thread?!...hatimaye umenena.lol
Hahahahahahhahaha..Hii kama ni movie inastahili 'Oscar'
Hebu tuzione nasie wengine lol
BwanaaHahahahah! You don't want to read them, trust me..
Mi mwenyewe najisikiaga aibu nikizisoma tena hahah
Hukuwahi RRONDOWhat? Ina maana sikuwahi kuchangia hii thread?!
Wivu ulikuwa unanisumbua kuliko mleta mada! Nilikuwa siaminiamini dada ndio anachukuliwa.Hukuwahi RRONDO
ningezeekea nyumbani pia roho ingekuuma.Wivu ulikuwa unanisumbua kuliko mleta mada! Nilikuwa siaminiamini dada ndio anachukuliwa.
heee nilijuwa ni wale watoto wa diamond.
sasa hivi mwanamke ukideka tu anaingia mwenzio mpo wengi sanaMwanaume ndo anamlea mke. Usipomlea tu wenzio wanamuiba si unajua wanawake tunapenda kudekezwa n.k?
Hahahahaha.. "Nifah"heee nilijuwa ni wale watoto wa diamond.
Nitakutumia link private.. Maana nikiweka hapa watu wataenda kuufufua tena ule uzi hahahahahahaBwanaa