Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,287
Hahaha zile za mateja WA enzi hizoo khaaYani ile English gold imepauka kama Karai
Hahaha zile za mateja WA enzi hizoo khaaYani ile English gold imepauka kama Karai
Acha tu mpenziHahaha zile za mateja WA enzi hizoo khaa
Ndio maana nimekuwa mpole, huyu namtafutia baba mchungaji tu sasa.Hahaha bhaaas hakuna kitakachondelea ukiona mungu kuwekwa Kati kwishaaa
Teh nisije kuvunja huduma ya watu bure, umama Mchungaji mchezoNdio maana nimekuwa mpole, huyu namtafutia baba mchungaji tu sasa.
Unakufaa sanaaa, sikupatii picha.Teh nisije kuvunja huduma ya watu bure, umama Mchungaji mchezo
Mmh ntakuwa nimedandia "kusudi". Me nataka muda wote nideke kwa bae, wakati Mchungaji anatakiwa madhabahuni muda mwingi. Kuomba kwenyewe naomba ndani ya shuka 35 secs, huku church nahitajika kuombea huduma na waumini, mbona ntachomwa moto jamani tehUnakufaa sanaaa, sikupatii picha.
Mmh ntakuwa nimedandia "kusudi". Me nataka muda wote nideke kwa bae, wakati Mchungaji anatakiwa madhabahuni muda mwingi. Kuomba kwenyewe naomba ndani ya shuka 35 sec, huku church nahitajika kuombea huduma na waumini, mbona ntachomwa moto jamani teh
Kwa kweli tuwaachie tu "walioitwa"
Ama kweli wito hamna.
Shkamoo Mama Mkwe
Ama kweli wito hamna.
Dada yangu unaleta ushilawadu hadi kwa mdogo wako?Mbona hii avatar ya the bold amevaa Pete ya ndoa tayari
mi namjua id yake sijui atakua kaharibu make sijamhoji kwa kina namtafutia muda
Nilihitaji upgrade ya Paulo, kati ya Frank Lee Morris na Dan Cooper. Dan akashinda. Na pia nilidhani naikimbia mizigo ya Paulo.
Cc Kaboom, Evelyn Salt, Nifah, geniveros
nahisi mmefuta!
Nimecheka sana hapo ulipoomba link ya thread za ugomvi wetu..
Daaahh wala sitamani uone Mkuu maana utajiuliza umetokea muujiza gani mpaka tumekuwa soulmates sasa.. Huo ugomvi ulikuwa balaaa
I can see uu!!Nilihitaji upgrade ya Paulo, kati ya Frank Lee Morris na Dan Cooper. Dan akashinda. Na pia nilidhani naikimbia mizigo ya Paulo.
Cc Kaboom, Evelyn Salt, Nifah, geniveros
I can see uu!!
chumba kipo mbona hujii Mr DC!!
Ila FLM ilikua tamuuu
Chumba nilighairi uliposema utahama, so hakukuwa na point ya mimi kuja. Unless utabadili wazo la kuhama.
FLM bana, tatizo lake historia, na imejaa misukosuko mingi. DC came across a nice dude, ghost before DC, ghost after DC.