Hakunaga.....

Hakunaga binadamu asiyekuwa na spiritual belief
Hakunaga kinachoonekana halafu hakijaumbwa au kuundwa
Hakunaga uzima wa milele bila kumkubali YESU kuwa Bwana na Mwokozi wa Maisha yako
 
etah ulah muchangubanah...ooh zaskumendaba zaizolo...amabantubatim..nyanchela gyanami indaaba....twende xaxa watu pipoooo

hakunagaa cha ajabu me na wewe hakunaga cha ajabu me na wewe
 
Wimbo ni mzuri kwa sauti, instrumental...... nimetegemea 'hakunaga' amelenga kuufanya wimbo wake usikike hivyo ambavyo yeye amehisi unapendeza. Ni kama maneno mengine mengi ya yasiyo ya kiswahili fasaha yanavyotumika kwenye nyimbo hizi na sanaa nyingine kama vichekesho n.k. nafikiri tukitaka kurekebisha haya inabidi tuanze nyuma kidogo -tuchambue kila wimbo na hizi zinazokuja tuendelee ku-monitor watumie kiswahili fasaha.

--------hakunaga ujumbe unaoweza kuwa-fit watu wote kwa mara moja, kila moja na mawazo yake
 
Hakunaga mvua bila maji Hakunaga mwanaume hasiye na miguu mitatu
Hakunaga binadam hasiye kula
 
Back
Top Bottom