Hakuna watu limbukeni kama baadhi ya mama lishe

Hakuna watu limbukeni kama baadhi ya mama lishe

Haya wengi wao ni wajinga mno na limbukeni, wanadharau mno za chini chini wakati wana shida. Ni leo asubuhi nimeamka safi tu, nimepiga 'jogging' nimeoga, sasa ile saa 4 nakwenda kupata japo supu ndipo haya yaliponitokea.

Niliagiza vitumbua vya 2000 nikawa nakula viwili viwili kwa wakati, nikamaliza nikaagiza supu ya 4000 ya kongoro na nikashushia uji wa ulezi wa 1000. Sasa nasubiri chenchi yangu nao wananiangalia tu ilhali chakula nishamaliza kula, yaani tunaangaliana tu bila sababu.

Ghafla naona amezubaa, anakonyezana na wenzake kwa siri kisha kama wanateta. Ni utaratibu mbovu, mteja anaweza hisi hata mnapanga njama za kumuua.

Pia siyo lazima wakati mteja anakula naye anakaa hapo hapo mnaangaliana, huu ni ujinga. Mteja akila we' toka na upotee. DSM imeshamiri sana hii.

Badilikeni, acheni kuingilia faragha za wateja wenu.

Tatizo unakula kama mjamzito mkuu
 
Halafu sijui kwa nini hua wanashangaa, kuna sehemu nilienda picha linaanza ugali samaki buku mbili nikajua lazima chakula hicho anakula mtoto mtu mzima hauwezi kushiba, nikagonga kale ka ugali, nikaagiza na wali nyama ya buku mbili nikanunua na maji ya Afya makubwa nikachapa nikaondoka wananishangaa nikasema mwanaume ule kachakula kadogo ndio maana wanalalamika watu hawana nguvu za kiume maana ukishiba hata kutembea umbali wa kilomita 3 hupandi bodaboda unachapa mguu, na mbaya zaidi wanaokula kidogo na hawafanyi kazi ndio hao wanavitambi balaa
 
Lazima ule ushibe na kazi za utafutaji ufanye kwa kujituma ili uitwe mzee wa kazi ukiona mtaani au marafiki hawakuiti mzee wa kazi jua mikononi hauna misuli ya kuonekana, lazima mikono ijae misuli na uwe na mkono wa kiume, akikuangalia mtu anasema kweli hili jitu
 
Haya wengi wao ni wajinga mno na limbukeni, wanadharau mno za chini chini wakati wana shida. Ni leo asubuhi nimeamka safi tu, nimepiga 'jogging' nimeoga, sasa ile saa 4 nakwenda kupata japo supu ndipo haya yaliponitokea.

Niliagiza vitumbua vya 2000 nikawa nakula viwili viwili kwa wakati, nikamaliza nikaagiza supu ya 4000 ya kongoro na nikashushia uji wa ulezi wa 1000. Sasa nasubiri chenchi yangu nao wananiangalia tu ilhali chakula nishamaliza kula, yaani tunaangaliana tu bila sababu.

Ghafla naona amezubaa, anakonyezana na wenzake kwa siri kisha kama wanateta. Ni utaratibu mbovu, mteja anaweza hisi hata mnapanga njama za kumuua.

Pia siyo lazima wakati mteja anakula naye anakaa hapo hapo mnaangaliana, huu ni ujinga. Mteja akila we' toka na upotee. DSM imeshamiri sana hii.

Badilikeni, acheni kuingilia faragha za wateja wenu.

😂😂😂

Hivyo ndivyo 90% ya Watu wasio na elimu ndivyo walivyo.
Sio Mama lishe tuu hata kazi zingine Kama bodaboda, dukani, n.k

Usiwachukie Bali waelimishe namna bora ya kufanya shughuli zako.
Kumbuka Ujinga ni moja ya adui wa taifa
 
Haya wengi wao ni wajinga mno na limbukeni, wanadharau mno za chini chini wakati wana shida. Ni leo asubuhi nimeamka safi tu, nimepiga 'jogging' nimeoga, sasa ile saa 4 nakwenda kupata japo supu ndipo haya yaliponitokea.

Niliagiza vitumbua vya 2000 nikawa nakula viwili viwili kwa wakati, nikamaliza nikaagiza supu ya 4000 ya kongoro na nikashushia uji wa ulezi wa 1000. Sasa nasubiri chenchi yangu nao wananiangalia tu ilhali chakula nishamaliza kula, yaani tunaangaliana tu bila sababu.

Ghafla naona amezubaa, anakonyezana na wenzake kwa siri kisha kama wanateta. Ni utaratibu mbovu, mteja anaweza hisi hata mnapanga njama za kumuua.

Pia siyo lazima wakati mteja anakula naye anakaa hapo hapo mnaangaliana, huu ni ujinga. Mteja akila we' toka na upotee. DSM imeshamiri sana hii.

Badilikeni, acheni kuingilia faragha za wateja wenu.
Nafikiri walikuwa wakijipongeza na kama kukuuliza, 'ungejua mauzauza unayoyafakamia humo?!'
 
Nakumbuka nilipotezana na mwamba mmoja kitambo wa kitaa. Ghafla nikakutana nae pale mwenge kwenye juice kwa wapemba wenye vitafunwa vingi vitamu. Eeenh jamaa anachukua kitumbua anakata taapu alafu anamalizia kimeisha. Glasi ya juice ananyanyua ikirudi imeisha. Nikamuuliza wee vipi anacheka tuu alafu ananiambia kula wewe. Nikamwambia miye basi asante tukaagana nilivyorudi home nikampgia mshikaji yule jamaa M vipi yuko wapi siku hizi nikaambiwa mjeda, ndiyo maana alukula vile sababu ya mazoezi.
 
Kuna mwamba kuna simulizi yake humu anaitwa roma ramoni yawezekana walijua ndiyo wewe maana yule nae anafeed haifai.
 
Kwanza huyo mama nitilie amekuheshima sana.

Kitendo Cha kula, vyakula vyote alivyo anadalia wateja wake wakudumu , wakati wewe niwakija, niheshima kubwa sana.
Kikawaida ulitakiwa ukomee kwenye vitumbua unywe na maji usepe.

Kuhusu kutobanduka hapo waliingiwa nawoga wakajua unaweza kutafuta na sahani.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
bora wewe ulikuwa unahudumiwa na watu wazima tu.

kuna siku nilienda mgahawani, yule mama lishe alikuwa na mwanawe mdogo, ebhana ee!, wakati nakula mwanawe akanisogelea akawa ananitazama usoni ninavyokula, kishingo upande nikakamtia andazi, hii haijakaa poa kabisa, yule mtoto alinipunja.
 
Haya wengi wao ni wajinga mno na limbukeni, wanadharau mno za chini chini wakati wana shida. Ni leo asubuhi nimeamka safi tu, nimepiga 'jogging' nimeoga, sasa ile saa 4 nakwenda kupata japo supu ndipo haya yaliponitokea.

Niliagiza vitumbua vya 2000 nikawa nakula viwili viwili kwa wakati, nikamaliza nikaagiza supu ya 4000 ya kongoro na nikashushia uji wa ulezi wa 1000. Sasa nasubiri chenchi yangu nao wananiangalia tu ilhali chakula nishamaliza kula, yaani tunaangaliana tu bila sababu.

Ghafla naona amezubaa, anakonyezana na wenzake kwa siri kisha kama wanateta. Ni utaratibu mbovu, mteja anaweza hisi hata mnapanga njama za kumuua.

Pia siyo lazima wakati mteja anakula naye anakaa hapo hapo mnaangaliana, huu ni ujinga. Mteja akila we' toka na upotee. DSM imeshamiri sana hii.

Badilikeni, acheni kuingilia faragha za wateja wenu.
Mh mkuu walikuwa Wana kuteta mlo wako ni hatareee 😂😂😂
 
Kwanza huyo mama nitilie amekuheshima sana.

Kitendo Cha kula, vyakula vyote alivyo anadalia wateja wake wakudumu , wakati wewe niwakija, niheshima kubwa sana.
Kikawaida ulitakiwa ukomee kwenye vitumbua unywe na maji usepe.

Kuhusu kutobanduka hapo waliingiwa nawoga wakajua unaweza kutafuta na sahani.



Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂
 
bora wewe ulikuwa unahudumiwa na watu wazima tu.

kuna siku nilienda mgahawani, yule mama lishe alikuwa na mwanawe mdogo, ebhana ee!, wakati nakula mwanawe akanisogelea akawa ananitazama usoni ninavyokula, kishingo upande nikakamtia andazi, hii haijakaa poa kabisa, yule mtoto alinipunja.
Wanatakiwa wawe nautaratibu mzuli,hii sio sawa. Ila usimnung'unikie uyo mtoto hana hatia
 
Back
Top Bottom