Jamaa mchwa ana kula zaidikama kimoja jero means vi 4.. mbona vichache tu!!.Sema Hapo pa supu plus uji mimi ndipo niliposhangaa!!
Haya mengi yao nimajinga mno na malimbukeni.wanadharau mno za chini chini wakati wanashida, ni leo asubuhi nimeamka safi tu,nimepiga jogging nimeoga, sasa ile saa 4 nakwenda kupata japo supu ndipo haya yaliponitokea.
Niliagiza vitumbua vya 2000 nikawa nakula viwili viwili at a time. Nikamaliza nikaagiza supu ya 4000 ya kongoro na nikashushia uji wa ulezi wa 1000.
Sasa nasubiri change yangu nao wananiangalia tu ilhali chakula nishamaliza kula,yaani tunaangaliana tu with no reason.
Ghafla naona amezubaa anakonyezana na wenzake kwa siri kisha kama wanateta. Ni utaratibu mbovu, mteja anaweza hisi hata mnapanga njama za kumuua.
Pia siyo lazima wakati mteja anakula naye anakaa hapo hapo mnaangaliana, this is shit hole stupidity.
Mteja akila we' toka na upotee.
Dsm imeshamiri sana hii.
Badilikeni, acheni kuingilia faragha za wateja wenu
Tupumzishe au tutoe sifuri zilizozidiNiliagiza vitumbua vya 2000 nikawa nakula viwili viwili at a time. Nikamaliza nikaagiza supu ya 4000 ya kongoro na nikashushia uji wa ulezi wa 1000.
Singida migahawani wanaongea kinyaturuHaya mengi yao nimajinga mno na malimbukeni.wanadharau mno za chini chini wakati wanashida, ni leo asubuhi nimeamka safi tu,nimepiga jogging nimeoga, sasa ile saa 4 nakwenda kupata japo supu ndipo haya yaliponitokea.
Niliagiza vitumbua vya 2000 nikawa nakula viwili viwili at a time. Nikamaliza nikaagiza supu ya 4000 ya kongoro na nikashushia uji wa ulezi wa 1000.
Sasa nasubiri change yangu nao wananiangalia tu ilhali chakula nishamaliza kula,yaani tunaangaliana tu with no reason.
Ghafla naona amezubaa anakonyezana na wenzake kwa siri kisha kama wanateta. Ni utaratibu mbovu, mteja anaweza hisi hata mnapanga njama za kumuua.
Pia siyo lazima wakati mteja anakula naye anakaa hapo hapo mnaangaliana, this is shit hole stupidity.
Mteja akila we' toka na upotee.
Dsm imeshamiri sana hii.
Badilikeni, acheni kuingilia faragha za wateja wenu
Mwamba ujengewe sanamu😅😅😅Haya mengi yao nimajinga mno na malimbukeni.wanadharau mno za chini chini wakati wanashida, ni leo asubuhi nimeamka safi tu,nimepiga jogging nimeoga, sasa ile saa 4 nakwenda kupata japo supu ndipo haya yaliponitokea.
Niliagiza vitumbua vya 2000 nikawa nakula viwili viwili at a time. Nikamaliza nikaagiza supu ya 4000 ya kongoro na nikashushia uji wa ulezi wa 1000.
Sasa nasubiri change yangu nao wananiangalia tu ilhali chakula nishamaliza kula,yaani tunaangaliana tu with no reason.
Ghafla naona amezubaa anakonyezana na wenzake kwa siri kisha kama wanateta. Ni utaratibu mbovu, mteja anaweza hisi hata mnapanga njama za kumuua.
Pia siyo lazima wakati mteja anakula naye anakaa hapo hapo mnaangaliana, this is shit hole stupidity.
Mteja akila we' toka na upotee.
Dsm imeshamiri sana hii.
Badilikeni, acheni kuingilia faragha za wateja wenu
Hiyo kawaida mbonaKwa ulaji huo hata mimi ningekushangaa mkuu una ulaji wa ajabu vitumbua vya 2000[emoji15]
Mama lishe wa daslamu hawajazoea mteja wa namna hiyo
Utakulaje vitumbua viwili kwa mpigo?wao wamezoea mteja anakata robo a akula taratibu
Kongoro 4000 na uji juu
Wamekuona kiumbe wa ajabu😅
...yumkini na wao walikuwa wanakusikilizia ka utaagiza tena chochote kile... Mkuu ww ni wa ajabu sana punguza kuagiza nusunusu wao wapo sahihiHaya wengi wao ni wajinga mno na limbukeni, wanadharau mno za chini chini wakati wana shida. Ni leo asubuhi nimeamka safi tu, nimepiga 'jogging' nimeoga, sasa ile saa 4 nakwenda kupata japo supu ndipo haya yaliponitokea.
Niliagiza vitumbua vya 2000 nikawa nakula viwili viwili kwa wakati, nikamaliza nikaagiza supu ya 4000 ya kongoro na nikashushia uji wa ulezi wa 1000. Sasa nasubiri chenchi yangu nao wananiangalia tu ilhali chakula nishamaliza kula, yaani tunaangaliana tu bila sababu.
Ghafla naona amezubaa, anakonyezana na wenzake kwa siri kisha kama wanateta. Ni utaratibu mbovu, mteja anaweza hisi hata mnapanga njama za kumuua.
Pia siyo lazima wakati mteja anakula naye anakaa hapo hapo mnaangaliana, huu ni ujinga. Mteja akila we' toka na upotee. DSM imeshamiri sana hii.
Badilikeni, acheni kuingilia faragha za wateja wenu.
Wapo humu?
Wewe... Ndoo unadharau UNAKUNYWAJE CHAI YA 7000 uswazi....!? wakati unajua Hali no ngumu kitaaani...lazima wakonyezaneHaya wengi wao ni wajinga mno na limbukeni, wanadharau mno za chini chini wakati wana shida. Ni leo asubuhi nimeamka safi tu, nimepiga 'jogging' nimeoga, sasa ile saa 4 nakwenda kupata japo supu ndipo haya yaliponitokea.
Niliagiza vitumbua vya 2000 nikawa nakula viwili viwili kwa wakati, nikamaliza nikaagiza supu ya 4000 ya kongoro na nikashushia uji wa ulezi wa 1000. Sasa nasubiri chenchi yangu nao wananiangalia tu ilhali chakula nishamaliza kula, yaani tunaangaliana tu bila sababu.
Ghafla naona amezubaa, anakonyezana na wenzake kwa siri kisha kama wanateta. Ni utaratibu mbovu, mteja anaweza hisi hata mnapanga njama za kumuua.
Pia siyo lazima wakati mteja anakula naye anakaa hapo hapo mnaangaliana, huu ni ujinga. Mteja akila we' toka na upotee. DSM imeshamiri sana hii.
Badilikeni, acheni kuingilia faragha za wateja wenu.
Haya wengi wao ni wajinga mno na limbukeni, wanadharau mno za chini chini wakati wana shida. Ni leo asubuhi nimeamka safi tu, nimepiga 'jogging' nimeoga, sasa ile saa 4 nakwenda kupata japo supu ndipo haya yaliponitokea.
Niliagiza vitumbua vya 2000 nikawa nakula viwili viwili kwa wakati, nikamaliza nikaagiza supu ya 4000 ya kongoro na nikashushia uji wa ulezi wa 1000. Sasa nasubiri chenchi yangu nao wananiangalia tu ilhali chakula nishamaliza kula, yaani tunaangaliana tu bila sababu.
Ghafla naona amezubaa, anakonyezana na wenzake kwa siri kisha kama wanateta. Ni utaratibu mbovu, mteja anaweza hisi hata mnapanga njama za kumuua.
Pia siyo lazima wakati mteja anakula naye anakaa hapo hapo mnaangaliana, huu ni ujinga. Mteja akila we' toka na upotee. DSM imeshamiri sana hii.
Badilikeni, acheni kuingilia faragha za wateja wenu.
Haya wengi wao ni wajinga mno na limbukeni, wanadharau mno za chini chini wakati wana shida. Ni leo asubuhi nimeamka safi tu, nimepiga 'jogging' nimeoga, sasa ile saa 4 nakwenda kupata japo supu ndipo haya yaliponitokea.
Niliagiza vitumbua vya 2000 nikawa nakula viwili viwili kwa wakati, nikamaliza nikaagiza supu ya 4000 ya kongoro na nikashushia uji wa ulezi wa 1000. Sasa nasubiri chenchi yangu nao wananiangalia tu ilhali chakula nishamaliza kula, yaani tunaangaliana tu bila sababu.
Ghafla naona amezubaa, anakonyezana na wenzake kwa siri kisha kama wanateta. Ni utaratibu mbovu, mteja anaweza hisi hata mnapanga njama za kumuua.
Pia siyo lazima wakati mteja anakula naye anakaa hapo hapo mnaangaliana, huu ni ujinga. Mteja akila we' toka na upotee. DSM imeshamiri sana hii.
Badilikeni, acheni kuingilia faragha za wateja wenu.
[emoji23][emoji23][emoji23]ni mnyama gani huyo? Au mtu?Wee jamaa ni Behemoth
View attachment 2412830