Dunia yakoo
Senior Member
- Nov 23, 2019
- 139
- 214
Aliifuta zamani Leprofeser,nzee ya bugurunri Kwa msaada wa Dola au huna habari,Ila Mwamba Maalim Seif alii andika upya kupitia ACT Zanzibar na akaipa pia ACT uhai kiduchu Bara😂
Magufuli kawafuta kibwege sana. Ni hostoria iliokwenda na CUF. Lipumba na Kambaya wamepiga hela sana.
Kwa hiyo unasemaje kwamfano 🤔Tanzania upinzani ni changamoto sana, huwezi jua ajenda kuu hasa nini kila kinachokuja wanarukia, nawasilisha.
Hujajua maana ya upinzani. Pole tu.Tanzania upinzani ni changamoto sana, huwezi jua ajenda kuu hasa nini kila kinachokuja wanarukia, nawasilisha.
Dar es Salaam. Chama cha Wananchi (CUF) kimemteua Hamad Masoud Hamad kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, akichukua nafasi iliyokuwa inashikiliwa na Haroub Mohamed Shamis.
Ni suala la muda tu itaibuka tena kwa nguvu zaidi. Kama mpaka leo Fatwa, Islamic jihad na brotherhood bado vipo! Ni ngumu sana kushindana na philosophy ni hii ndiyo silaha ya chademaMagufuli kawafuta kibwege sana. Ni hostoria iliokwenda na CUF. Lipumba na Kambaya wamepiga hela sana.
Nawahurumia sana wazanzibar wamekua watu wakubakwa, kuuliwa na kuuzwa na MADALALI wa SIASA kina Zitto.
Ni suala la muda tu itaibuka tena kwa nguvu zaidi. Kama mpaka leo Fatwa, Islamic jihad na brotherhood bado vipo! Ni ngumu sana kushindana na philosophy ni hii ndiyo silaha ya chadema
Soma vizuri historia ya zanzibar. Afu utajua kwamba hisbu ilikuwa au ndiyo ilikuja kuwa CUF?CUF imeshakufa mkuu, Viongozi na wafuasi wake wote waliobaki walijiunga na ACT, chama kimebakiwa na wasaka tonge tu
Soma vizuri historia ya zanzibar. Afu utajua kwamba hisbu ilikuwa au ndiyo ilikuja kuwa CUF?