Hakuna urafiki wa mwanaume na mwanamke

Tuliweke sawa hili.

Mimi nasema HAKUNA urafiki wa namna hiyo.

Ukisikia mwanamke anasema ana marafiki wengi wa kiume kuliko wa kike, ujue kuna namna anawatumia hao wanaume. Ananufaika big time.

Na wanaume sio wajinga, katika huo urafiki hata ikiwa mwanamke ameolewa au ana bwan’ake ujue wapo pale kwa lengo maalumu.

Wako 'standby' wakisubiri fursa siku yoyote, ukitaka kuthibitisha hilo jifanye tu unatengeneza mazingira. Utajua upo mezani tayari!

Kwa upande mwingine, huyo huyo mwanamke anayejivunia marafiki wa kiume, kama ni 'my wako' jaribu kumwambia una marafiki wengi wa kike. Hawezi kukuamini, yaani utajua hujui.

My take:
Mwanamke anajipatia wanaume wengi wanaodhani ni marafiki, kwa ajili ya security na mizinga ya hapa na pale. Vitu ambavyo hawezi kupata kwa mwanamke mwenzake.

Mwanamme anakuwa na urafiki na mwanamke kama namna tu ya kujiweka karibu, deep down moyoni anameza mate na ku-hope ONE DAY YES!!

Hebu sema na moyo wako, tupeane uzoefu hapa... kwa dhati kabisa una dhamira gani kwa hao unaowaita marafiki?
sitawahi badilisha msimamo wangu juu ya hilo mimi kwasababu najua vyema
 
Sijawai kuwa na marafiki wakiume...yaani best furendi Sijui Nini....Sijui tunatoka out eti rafiki yangu...aiseeee sina hulka hiyo..

Hata hao wakike tu tunawasalianaga kwa Watssap...sijawaona live Miaka...
.mylife is simple....Sijui kutokana kwenda wapi ..Sijui Kula Bata...doooh

Sioni hata Kama napungukiwa kitu...
 
Sijawai kuwa na marafiki wakiume...yaani best furendi Sijui Nini....Sijui tunatoka out eti rafiki yangu...aiseeee sina hulka hiyo..

Hata hao wakike tu tunawasalianaga kwa Watssap...sijawaona live Miaka...
.mylife is simple....Sijui kutokana kwenda wapi ..Sijui Kula Bata...doooh

Sioni hata Kama napungukiwa kitu...
naona dalili za mke😂😂😂
 
Sijawai kuwa na marafiki wakiume...yaani best furendi Sijui Nini....Sijui tunatoka out eti rafiki yangu...aiseeee sina hulka hiyo..

Hata hao wakike tu tunawasalianaga kwa Watssap...sijawaona live Miaka...
.mylife is simple....Sijui kutokana kwenda wapi ..Sijui Kula Bata...doooh

Sioni hata Kama napungukiwa kitu...
Wewe sasa umejisifia mmno khaaa. Unataka tuseme wewe wife material sio?

Maada hapa urafiki wa mwanaume na mwanamke haupo zaidi ya kupigana mashine. Hatujasema wewe na marafiki wa kike wala kutoka out.
 
Hii dhana ya kwamba hakuna urafiki wa mwanamke na mwanaume sijui imetoka wapi

Mimi kama mwanaume anaona hawezi kuwa na urafiki wa kawaida na mimi apite kushoto

And this is why naonaga wanaume hawana umuhimu wowote kwenye maisha yangu

Kwa sababu sitegemei pesa ya mwanaume yeyote hivyo nami sina chochote cha kumpa
 
Wewe sasa umejisifia mmno khaaa. Unataka tuseme wewe wife material sio?

Maada hapa urafiki wa mwanaume na mwanamke haupo zaidi ya kupigana mashine. Hatujasema wewe na marafiki wa kike wala kutoka out.

Anajipigia mstari huyo, jichanganye tu uingie kingi!
 
Hii dhana ya kwamba hakuna urafiki wa mwanamke na mwanaume sijui imetoka wapi

Mimi kama mwanaume anaona hawezi kuwa na urafiki wa kawaida na mimi apite kushoto

And this is why naonaga wanaume hawana umuhimu wowote kwenye maisha yangu

Kwa sababu sitegemei pesa ya mwanaume yeyote hivyo nami sina chochote cha kumpa

Huo ni msimamo wako binafsi, hongera kama umefaulu kuuishi.

Ila ....“kama hawezi kuwa rafiki wa kawaida.....” means ni conditions unazompa vs kilichomleta sio hicho, akiamua kubaki ujue anayo hope ipo siku tu.
 
Shida ni pale demu wako anapokwambia ni rafiki tu na wewe pia unajua ulikua rafiki na unajua sarakasi ulizozicheza mpaka hapo mlipofikia
 
Kuna jamaa yangu mmoja ofisini alikuaga ana rafiki yake wa kike kila mahali wanajitanabaisha kwamba urafiki wao ni wa kawaida kabisa. Mi nikaona isiwe tabu nikatia timu kwa yule mamsi akanielewa, nikaanza kumega! Jamaa kuja kujua nashangaa kaninunia mazima hataki hata kuongea na mimi na urafiki wao ukaishia hapo.
 
Kuna jamaa yangu mmoja ofisini alikuaga ana rafiki yake wa kike kila mahali wanajitanabaisha kwamba urafiki wao ni wa kawaida kabisa. Mi nikaona isiwe tabu nikatia timu kwa yule mamsi akanielewa, nikaanza kumega! Jamaa kuja kujua nashangaa kaninunia mazima hataki hata kuongea na mimi na urafiki wao ukaishia hapo.

ulikula 'akiba' yake!
 
Back
Top Bottom