sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,743
- 6,240
Kila mtu atakupenda kwa sababu kuna inayomfanya akupende, Mama atakupenda kwa kua ni mwanae na amekupatia shida , tangu mimba hadi kukulea ( wapo wanaowachukia watoto wao). Kama ni rafiki anakupenda coz kunakitu anapata kutoka kwako.
Mpenzi sijui hubby nk wote wanakupenda kwa kua kuna kitu kinafanya akupende.
Kama love isingekua condition bas kusingekua na love kwakua tungekua wote tunapendana moja kwa moja bila ya kujali kitu chochote.
Love and hate are all depend on condition/s
Mpenzi sijui hubby nk wote wanakupenda kwa kua kuna kitu kinafanya akupende.
Kama love isingekua condition bas kusingekua na love kwakua tungekua wote tunapendana moja kwa moja bila ya kujali kitu chochote.
Love and hate are all depend on condition/s